Kifo cha msalaba kilikuwa ni moja ya kifo kbaya na chakikatili zaidi kilicho kuwa kinatolewa kwa watu wenye makosa makubwa yenye kustahili kifo kwenye baadhib ya majimbo ya roman empire, haikuwa tu mtu kuchapwa fimbo,ila kabla ya kutundikwa ulichapwa kwanza mijeledi yenye vipande vya vyuma kama...
Kati ya hayo mengi aliyo ya sema na kuyafanya isisahau huyu Mohamed Akhemed ibn khaldun no mwanafalsafa na reformer Mkubwa wa Imani ya kiislam,cha kufurahisha reformers wa imani kubwa duniani wametoka Afrika akiwepo reformer wa Dini ya katoliki Sent Augustine Bishop of Hippo raia wa...
Adhabu ya msalaba ilikuwa in adhabu ya kifo yawarumi pia wayahudi ,ilitolewa kwa watu wengi sio Yesu peke yake wrote walio onekana waasi walitundikwa msalaban hata Petro pia aliuliwa kwa kutundikwa msalaban kichwa chini miguu juu huko rumi
Hata ikiwa nzuri vpi kama anae ongoza hajamua kuifuata,huwez kuaona umuhimu wa hyo katiba.Uongoz ni hekima ukiwa nayo hat bila hayo mandish unaeza ukaongoza vyema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.