Geto kuna joto😓 ,feni haiwaki na malipo ya umeme ni zamu yako.Chini ya kitanda kuna Panya anatafuna soksi ya mguu wa kushoto inayotoa harufu flan hivi sio rafiki!😷 Pembeni kuna Dundo moja kuu kuu ulilodumu nalo kwenye shida na raha! Umejiegesha kitandani na Kinjunga chako ulichokunja ki'26...
Je? Wewe ni mmoja kati ya wanaosema maumivu ya kuachwa ni makali kushinda maumivu ya viungo vya mwili? Mbona ni kama unajaribu kuwashauri madaktari waanze kufanya oparesheni bila ganzi hivi? Enewei! Tuachane na hilo! Jambo la msingi ni kuwa kuna maisha baada ya Brekapu 💔!
Yafuatayo ni mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.