Jamani kwa yoyote anayeijua hii kozi vizuri naomba ailezee vizur na application zake ktk maisha maana kuna ndugu yangu kachaguliwa hapo na ana utata wa kuijua vizur hiyo kozi maana inatolewa na chuo kimoja tu
Jaman hiv serikali ina mpango gani na wanafunzi wenzetu ambao wapo jkt maana kuna watu majina yao yalikuwemo katika wale waliokosa first round lakini hawakutaarifiwa ili wafanye selection na yametoka tena ili wafanye selection lakin hawajui lolote sasa hawa wakirudi mtaani si kilio tu
Kizaz cha mulugo noma eti gs inajumlishwa teh teh teh nyie jiteteeni tu jaman ila waliokosa chuo na wakaambiwa waapply mara ya tatu wengi wao wapo jkt cjui watawasaidiaje maana na rafiki yangu yumo nikimpigia hapatikan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.