Eleza maana ya kuvamiwa kwanza yawezekana hutambui .Hizo ni siasa za wauza sembe.Mbona hawakwenda vikindu hadi askari waliuwawa,au kamati haikuwepo na waziri wake.
Huo ni ujinga na akapimwe akili zake nawote mnaounga mkono.Tangu lini mtu aliyepata zero akawa na cheti?Hapo tu inaonyesha mashaka ya uelewa wa cheti ni nini.Alete hoja nyingine wanaemtumia wameshamdanganya sababu wamemwona uelewa wake siyo mzuri.watu mnaunga mkono kama vile nanyi hamuelewi hilo...
Huyu mtu ambaye mnamwandama Paul Makonda hajatumia vyeti feki bali yeye anatumia vyeti ambavyo amesomea.Cheti cha fomu 4 siyo chake kama mnavyosema lakini baada ya hapo nivyake vilivyo salia.Je tatizo ni elimu yake au ukuu wa mkoa?Yeye kasomea vyeti hivyo wote mnajua tatizo hapo siyo vyeti...
Huyo Gwajima ni askofu muongo wakuaminisha watu.mfano tu akitanganza kuwa ana vyeti vya p.Makonda,kwamba ukienda baraza la mitihani wanakupatia ndiko amepata yeye.hivi tuelezana hapa nn akishaenda baraza kuchukua cheti hata cha mtoto wake wakampa kama siyo uongo hapo nini.Naongo hajo kuwa huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.