Recent content by Adacha

  1. Adacha

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nahitaji kuchukua mkopo wa milioni 30 kwajili ya biashara ya mahindi

    Hongera sana kwa uthubutu..kuweka stock inalipa sana ukifanya timing na kupata quality nzuri ya Mazao..Ndugu yangu alikopa 70m kwa ajili ya mahindi ambayo alitumia kama 40m tu kununua mahindi nyingine akapeleka kwenye shughuli zingine..ayo mahindi ya 40m ndio yaliolipa mkopo wote wa karibia 80m...
  2. Adacha

    JamiiForums Tanzania Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

    Nishawahi kwenda kufuturu kwa marehemu mzee Zakaria(murzah)..parking tu ni zaidi ya 1b tshs,nyumba ndo usiseme..muda wote pesa zinaletwa kwenye makapu ya sokoni..mzee ana mtu wake maalum bank fulani wa kumuhudumia haondoki mpaka ruksa ya mzee,yule mzee alikua tajiri haswaaa..Rip mzee Zakaria
  3. Adacha

    JamiiForums Tanzania House4Sale 5 bdrms house for sale Mombasa relini

    Mombasa ipo kabla ya kufika gongo la mboto ukifika pale unaelekea kushoto kama unaenda Moshi bar kuna reli..nashindwa ku attach google location hapa kama hutojali nicheki watsapp
  4. Adacha

    JamiiForums Tanzania House4Sale 400 sqm house for sale Kinondoni B

    Ina fremu 8 na vyumba vi5 Ipo opposite na mwendokasi Imegusa barabara kubwa ya lami Eneo sqm 400 Clear title deed Bei 800m mazungumzo More details 0715877076
  5. Adacha

    JamiiForums Tanzania House4Sale 5 bdrms house for sale Mombasa relini

  6. Adacha

    JamiiForums Tanzania House4Sale 5 bdrms house for sale Mombasa relini

  7. Adacha

    JamiiForums Tanzania House4Sale 5 bdrms house for sale Mombasa relini

    5 bedrooms,1 master bedroom Ina kisima cha maji safi na tank lake Eneo sqm 1000 Parking space ya kutosha ata gari 8 Title deed Bei 190m mazungumzo More details 0715877076
  8. Adacha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Mkuu kama uliweza kufanyia matusi Panda basi we jasiri sana..ilikua kipindi cha askofu au mabroda wale?!!
  9. Adacha

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Kama una leseni na muda nunua TVS bajaj used ya 4m zipo nyingi tu ukomae nayo mwenyewe kufunga ef30 kawaida sana wanapiga mpaka 50,60 kwa siku.Utatumia kama laki 2,3 kufanya service ndogo inayobaki 800k acha kwenye acc kwa ajili ya dharula. NOTE:Brand ni Tvs tu si nyingine
  10. Adacha

    JamiiForums Tanzania Sony Bravia 55" Smart Tv for sale

    Sold!!!
  11. Adacha

    JamiiForums Tanzania Sony Bravia 55" Smart Tv for sale

    ..
  12. Adacha

    JamiiForums Tanzania Sony Bravia 55" Smart Tv for sale

    Ni used imetumika karbia mwaka sasa..
  13. Adacha

    JamiiForums Tanzania Sony Bravia 55" Smart Tv for sale

    ..
  14. Adacha

    JamiiForums Tanzania Sony Bravia 55" Smart Tv for sale

    ..
Back
Top Bottom