Mh Mnyika ubungo hakuna anachokifanya huu ndio mwisho wake hatujawatuma bungeni kupeleka siasa tunataka maendeleo kinondoni temeke barabara mpaka uchochoroni na huyu diwani pamba hakuna anchofanya hilo analijua
Mnyika jumbo lako ubungo limekushinda hakuna maendeleo yoyote uliyofanya maneno tu kweli siasa ni uongo tu na huu ndio mwisho wako hatukuchagui tena katafutesha ulime
Hapo nakunga mkono coz tatizo cdm kila mtu muongeaji hakina muongeaji maalum wamekuwa kama timu ya mpira ugomvi Wa ndani ya chama utatangazwa mpaka nje. Hawafai siri za ndani wanatoa nje.
Yani wanachama wa chadema ni wapuuzi wanasiasa za chuki kwahiyo huyu mama kwenda kwenye msiba wa mwanaccm ni kosa basi mtashindwa kwenda kwenye misiba ya watu wenu wakaribu kisa ccm acheni siasa za kizamani za CUF wenzenu wamejirekebisha coz siasa sio chuki Wabaguzi wakubwa nyie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.