Recent content by Ad majorem

  1. Ad majorem

    Mahakama Kuu nchini Zanzibar yafuta kifungu kinachozuia uagizaji wa vileo

    Safi sana. Haki imeshinda. Sheria hiyo ilikua inaenda kinyume na katiba. Nilikua Zanzibar mwezi uliopita. Nilihangaika sana kupata Pombe ya kunywa baada ya masaa ya kazi. Nashukuru baadae nilipata Chimbo nikamwagilia moyo. Kazi na dawa. By the way, nilifurahi kuona Kitimoto ikiuzwa Zanzibar...
  2. Ad majorem

    Kazi ya uenezi hakuna mtu anayeiweza kwa CCM ya sasa

    Kazi hiyo apewe Kenani Kihongosi. Kijana anaweza sana.
  3. Ad majorem

    CAG: Wastaafu na wenza wao wanaigharimu NHIF Tsh 84.7 billion kila Mwaka Bila Wao kuchangia

    Chonde chonde, Wastaafu wasiguswe please. Tusijisahau, hata nyinyi wenye mamlaka mtakua wastaafu siku moja. Wastaafu kuwa na health insurance ni haki yao. Hawa ni wachangiaji wa uhakika wa zamani, ambao walichangia miaka kadhaa pengine bila kuugua. Ni hawa ambao pesa zao zilizoko kwenye mifuko...
  4. Ad majorem

    Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

    Amani ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi. Moyo wangu unaugua sana kwa sababu ya Jamii ya Wakristo wanaoishi katika visiwa vya Zanzibar. Nawaza namna watakavyokula Pasaka. Ikumbukwe kuwa, Pasaka ndicho kilele cha Ukristo na kwa asili, Pasaka ni siku ya kuchinja na kula kusherehekea...
  5. Ad majorem

    CDF mstaafu Mabeyo amelikoroga, Makamu wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais

    Kwani hiyo ni hospitali ya nini? Kama hufahamu, ni heri ukakaa kimya. Serikali imeboresha sana hospital za jeshi.
  6. Ad majorem

    CDF mstaafu Mabeyo amelikoroga, Makamu wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais

    Prof. Mchembe ni mkurugenzi mkuu wa Mzena Memorial Hospital
  7. Ad majorem

    Daraja la Tanzanite au Kigongo Busisi liitwe Daraja la Ali Hassan Mwinyi

    The late Ben Mkapa alijenga National Stadium ikaitwa kwa jina lake. Mh. Kikwete alijenga Taasisi ya Moyo Muhimbili ikapewa jina lake. Hata sasa inaitwa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete. Hayati JPM alijenga stendi ya Mbezi ikapewa jina lake, na The late Mwinyi apewe jina kwenye project...
  8. Ad majorem

    Ukweli mchungu: Vifurushi vipya vya NHIF vitaumiza wanachama zaidi ya kikokotoo kinavyoumiza wafanyakazi

    Suala la Kitita kipya cha NHIF sio tuu linaathiri hospital za private tuu, bali hata za serikali. Bei nyingi haziko realistic. Bei ya bidhaa za afya mtaani ni kubwa kuliko fedha wanayolipa Bima. Mathalani, bei ya Cuevettes za kupimia wingi wa damu zinauzwa around 2000 Tsh, na Bima wanalipa...
  9. Ad majorem

    Wakatoliki mliokwazika na tamko la Papa jiungeni na kanisa aliloanzisha Padre Martin Luther la Lutheran msikae bila kusali

    Padre Martin Luther, hakuanzisha kanisa. Rudi kasome historia ya kanisa.
  10. Ad majorem

    Kwa mnaoeneza uzushi dhidi ya kijana wa Kitanzania aliyeuwawa na Hamas

    Kama hauamini na wewe ni miongoni mwa hao wanaozungumzwa na mleta Uzi. In short, kama sehemu ya malipo ya mauaji ya Watanzania wasio na hatia, ACHA MBWA HAO( HAMAS) wapelekewe moto wa Kifuu
  11. Ad majorem

    Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

    Yesu hakubariki dhambi bali alikua anawaombea wenye dhambi waache dhambi zao , wamgeukie Mungu wa kweli. Ndio maana, alipopelekewa Mama mzinzi na watu waliotaka kumuua kwa mawe( kwa mujibu wa utamaduni wao wa wakati ule) , biblia inasema, aliwageukia makutano akawaambia, yeye asiye na dhambi na...
  12. Ad majorem

    Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

    Kwa ajili ya usalama na ustawi wa Kanisa letu, Jodje Bergoglio ( Pope Francis) anatakiwa ajiuzulu otherwise Mungu ataamua mwenyewe juu ya kanisa lake takatifu. #katika yote, kupenda na kutumikia.
  13. Ad majorem

    Mnyika: Naiagiza Bavicha ifufue Idara ya Chemchem yenye Watoto wa umri wa miaka 12-17 Ili tuanze kuwaandaa Kiuongozi!

    Mtoto wa Erythrocyte lazima awe mwenyekiti wa Chemchem Kyela. Anakula za wanangu wote wa Ipinda
  14. Ad majorem

    DRC Pamoja na Hali Tata Wanaweza Kuendesha Uchaguzi wa Kidemokrasia Kuliko Sisi Tusemao Tuna Amani na Miundombinu Rafiki

    Mwenyezi Mungu amsimamie Mh Moise Katumbi. Kwa Maombezi ya mama yetu Bikira Maria mama wa Amani, tunawaombea wakongo wote amani.
  15. Ad majorem

    Mtanzania aliyeuawa na Hamas alikuwa sehemu ya jeshi la Israel? Serikali itoe tamko Watanzania wangapi wameingizwa kwenye jeshi la Israel

    Wabongo buana! Tunapenda kutunga nadharia mbali mbali hata kwa mambo yaliyo wazi. Mtoa post, unapata faida gani ya kufanya editing na kutunga vi maamdishi vya uongo hivyo? HAMAS is not synonymous to ISLAM, ndio maana hata nchi za Kiislam kama Saudia na Qatar hawawaingi mkono. Na Israel sio...
Back
Top Bottom