Kama ndivyo, kwa nini hamkutoa taarifa rasmi kama mlivyokua mmejinasibu?
Mmekumbuka kumwambia Papa juu ya hilo pia?
Mmeona aibu kuungama kwa Maaskofu wa Tanzania, mkaona rahisi kwenda kuungama kwa askofu mkuu wa Roma. Mmekumbuka kuzitaja dhambi zenu zote? Kumbukeni, dhambi haisamehewi kwa...
Sawa. Pamoja na yote, TENDENI HAKI HAKI HAKI, mpunguze kujitetea.
Hao walioenda kwa Papa, wamekumbuka kumwambia kuwa, padre wake ambae ni katibu mkuu wa TEC alishambuliwa na mpaka leo serikali imeshindwa kutoa report ya waliomshambulia? Mmekumbuka kumweleza ukweli kuwa, Kanisa Katoliki Tanzania...
Hii taarifa ya Polisi mbona kama wanajichanganya? Hawajui kuwa upungufu wa damu wa ghafla( Acute blood loss) inaweza kutokea tuu iwapo mtu amepata Majeraha? Walipashwa kumalizia kwa kusema visababishi vya hio low blood level(Anaemia).
Jumuiya ya Madola wameteua mtu sahihi kwa kazi sahihi.
Changamoto kubwa ninayoiona mbele yake, ni utayari wa mamlaka kukubali yaliyotokea kabla na baada ya Uchaguzi.
Ukweli ni kuwa, serikali yetu wako kwenye DENIAL baada ya kusambaa kwa yale yaliyofanyika gizani kabla , wakati na baada ya...
Ungekuwa wewe, ungeweza kuacha Ubalozi? Watu mnapiga kelele ili muonekane, mteuliwe hata kwenye nafasi ya u DAS. Leo unahoji dhamira ya mtu aliyeamua kuachia Diplomatic Passport ili awasemee wananchi?
Polepole ni mzalendo kweli. Angekuwa mwingine, angeamua kukaa kimya, ale mafao yake na ainjoy...
Kwamba unaanzisha ugomvi sasa kwa ahadi ya kufanya maridhiano baadae? Mnataka maridhiano ya nini wakati mnasema mnachokifanya mnakifanya kwa Mujibu wa sheria na Katiba na hamvunji Haki za Binadamu? Kwa nini msiridhiane sasa kabla ya kwenda kwenye uchaguzi kama kweli mnaamini ipo haja ya taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.