Recent content by Ad majorem

  1. Ad majorem

    JamiiForums Tanzania Si sahihi kumdhalilisha mtu online, si ubinadamu. Kuweka picha za mtu za faragha si sahihi, Sasa naelewa kwanini Serikali inadhibiti maudhui

    Dada zetu nao wanapenda kurecordiwa wakiwa kwenye faragha zao. Wanapenda waone wanavyoride😄. Ametusaidia vijana wa ovyo kupata nyezo
  2. Ad majorem

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha serikali kutuma ujumbe wake kwa Papa Vatican kiwe ni ujumbe kwenu kanisa Katoliki Tanzania

    Kama ndivyo, kwa nini hamkutoa taarifa rasmi kama mlivyokua mmejinasibu? Mmekumbuka kumwambia Papa juu ya hilo pia? Mmeona aibu kuungama kwa Maaskofu wa Tanzania, mkaona rahisi kwenda kuungama kwa askofu mkuu wa Roma. Mmekumbuka kuzitaja dhambi zenu zote? Kumbukeni, dhambi haisamehewi kwa...
  3. Ad majorem

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha serikali kutuma ujumbe wake kwa Papa Vatican kiwe ni ujumbe kwenu kanisa Katoliki Tanzania

    Sawa. Pamoja na yote, TENDENI HAKI HAKI HAKI, mpunguze kujitetea. Hao walioenda kwa Papa, wamekumbuka kumwambia kuwa, padre wake ambae ni katibu mkuu wa TEC alishambuliwa na mpaka leo serikali imeshindwa kutoa report ya waliomshambulia? Mmekumbuka kumweleza ukweli kuwa, Kanisa Katoliki Tanzania...
  4. Ad majorem

    JamiiForums Tanzania Polisi: Ni kweli tulimkamata Peter Mwita kwa tuhuma za unyanganyi lakini amefariki dunia kwa tatizo la Upungufu wa Damu

    Hii taarifa ya Polisi mbona kama wanajichanganya? Hawajui kuwa upungufu wa damu wa ghafla( Acute blood loss) inaweza kutokea tuu iwapo mtu amepata Majeraha? Walipashwa kumalizia kwa kusema visababishi vya hio low blood level(Anaemia).
  5. Ad majorem

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola amemteua Dkt. Lazarus Chakwera kuwa Mjumbe Maalum Tanzania kusuluhisha masuala ya uchaguzi

    Jumuiya ya Madola wameteua mtu sahihi kwa kazi sahihi. Changamoto kubwa ninayoiona mbele yake, ni utayari wa mamlaka kukubali yaliyotokea kabla na baada ya Uchaguzi. Ukweli ni kuwa, serikali yetu wako kwenye DENIAL baada ya kusambaa kwa yale yaliyofanyika gizani kabla , wakati na baada ya...
  6. Ad majorem

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hotuba ya Rais Samia uzinduzi wa Bunge la 13 imejikita kuwainua vijana

    Ujumbe wa Gen Z umeanza kuwaingia. Niggas, keep on pushing, nyinyi ndio wenye nchi hii, wazee muda wao umeisha. Keep on pushing Gen Z
  7. Ad majorem

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki, naomba maombi yenu ya tarehe 9.11 na misaada mtakayoikusanya viwaendee pia waliodhulumiwa Mali zao na kazi zao! Mungu awabariki sana

    Una brain diarrhea wewe sio bure.. Unataka kulinganisha UHAI na mali? Una akili kweli?
  8. Ad majorem

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aongoza Kikao Maalumu cha Kamati Kuu. CCM yaazimia kujitathmini na kujipanga vyema kubeba dhima ya kuliongoza Taifa

    Chama kijitathmini otherwise mwisho wake hauko mbali
  9. Ad majorem

    JamiiForums Tanzania Maoni yangu Binafsi kuhusu Ndugu Polepole

    Ungekuwa wewe, ungeweza kuacha Ubalozi? Watu mnapiga kelele ili muonekane, mteuliwe hata kwenye nafasi ya u DAS. Leo unahoji dhamira ya mtu aliyeamua kuachia Diplomatic Passport ili awasemee wananchi? Polepole ni mzalendo kweli. Angekuwa mwingine, angeamua kukaa kimya, ale mafao yake na ainjoy...
  10. Ad majorem

    JamiiForums Tanzania Kibatala ana ushaidi kuwa aliyetekwa ni Humphrey Polepole au ameamua kutimiza wajibu tu?

    Nyinyi mliyemteka kwenye ile nyumba ni nani? Nimesikia utetezi wa Polisi, ovyo kabisa. Mrudisheni polepole.
  11. Ad majorem

    JamiiForums Tanzania Mabingwa wa Kuharibu: Toka Mabasi 140 hadi 30

    Ni aibu sana nchi hii. Aibu nyingine inakuja kwenye inshu ya ujenzi wa uwanja wa Taifa.watu wanajipigia tuu.
  12. Ad majorem

    JamiiForums Tanzania Ushauri Kwa Rais Samia, vyama vilivyoshiriki Uchaguzi ndo viingie kwenye maridhiano baada ya uchaguzi

    Kwamba unaanzisha ugomvi sasa kwa ahadi ya kufanya maridhiano baadae? Mnataka maridhiano ya nini wakati mnasema mnachokifanya mnakifanya kwa Mujibu wa sheria na Katiba na hamvunji Haki za Binadamu? Kwa nini msiridhiane sasa kabla ya kwenda kwenye uchaguzi kama kweli mnaamini ipo haja ya taifa...
  13. Ad majorem

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu George Masaju akemea na kuwaonya majaji na mahakimu wanaopindisha haki kwa maelezo kuwa ni "maelekezo toka juu". But, is he really serious?

    Hii post ilitakiwa kuunganishwa na ile Video Clips ya Rostam akiizungumzia Mahakama ya Tanzania
  14. Ad majorem

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Sio shida wala aibu kwa chama kuwasafirisha wanachama wake

    Naunga mkono hoja
Back
Top Bottom