Safi sana. Haki imeshinda. Sheria hiyo ilikua inaenda kinyume na katiba. Nilikua Zanzibar mwezi uliopita. Nilihangaika sana kupata Pombe ya kunywa baada ya masaa ya kazi. Nashukuru baadae nilipata Chimbo nikamwagilia moyo. Kazi na dawa. By the way, nilifurahi kuona Kitimoto ikiuzwa Zanzibar...
Chonde chonde, Wastaafu wasiguswe please. Tusijisahau, hata nyinyi wenye mamlaka mtakua wastaafu siku moja. Wastaafu kuwa na health insurance ni haki yao. Hawa ni wachangiaji wa uhakika wa zamani, ambao walichangia miaka kadhaa pengine bila kuugua. Ni hawa ambao pesa zao zilizoko kwenye mifuko...
Amani ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi.
Moyo wangu unaugua sana kwa sababu ya Jamii ya Wakristo wanaoishi katika visiwa vya Zanzibar.
Nawaza namna watakavyokula Pasaka. Ikumbukwe kuwa, Pasaka ndicho kilele cha Ukristo na kwa asili, Pasaka ni siku ya kuchinja na kula kusherehekea...
The late Ben Mkapa alijenga National Stadium ikaitwa kwa jina lake. Mh. Kikwete alijenga Taasisi ya Moyo Muhimbili ikapewa jina lake. Hata sasa inaitwa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete. Hayati JPM alijenga stendi ya Mbezi ikapewa jina lake, na The late Mwinyi apewe jina kwenye project...
Suala la Kitita kipya cha NHIF sio tuu linaathiri hospital za private tuu, bali hata za serikali. Bei nyingi haziko realistic. Bei ya bidhaa za afya mtaani ni kubwa kuliko fedha wanayolipa Bima. Mathalani, bei ya Cuevettes za kupimia wingi wa damu zinauzwa around 2000 Tsh, na Bima wanalipa...
Kama hauamini na wewe ni miongoni mwa hao wanaozungumzwa na mleta Uzi. In short, kama sehemu ya malipo ya mauaji ya Watanzania wasio na hatia, ACHA MBWA HAO( HAMAS) wapelekewe moto wa Kifuu
Yesu hakubariki dhambi bali alikua anawaombea wenye dhambi waache dhambi zao , wamgeukie Mungu wa kweli. Ndio maana, alipopelekewa Mama mzinzi na watu waliotaka kumuua kwa mawe( kwa mujibu wa utamaduni wao wa wakati ule) , biblia inasema, aliwageukia makutano akawaambia, yeye asiye na dhambi na...
Kwa ajili ya usalama na ustawi wa Kanisa letu, Jodje Bergoglio ( Pope Francis) anatakiwa ajiuzulu otherwise Mungu ataamua mwenyewe juu ya kanisa lake takatifu.
#katika yote, kupenda na kutumikia.
Wabongo buana! Tunapenda kutunga nadharia mbali mbali hata kwa mambo yaliyo wazi. Mtoa post, unapata faida gani ya kufanya editing na kutunga vi maamdishi vya uongo hivyo? HAMAS is not synonymous to ISLAM, ndio maana hata nchi za Kiislam kama Saudia na Qatar hawawaingi mkono. Na Israel sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.