Recent content by acura

  1. A

    Ufugaji wa Mbwa!

    Ukitaka nora lazima uingie gharama sasa u cant be a good breeder with crosses breed unless unataka wakufuga tuu..watu wanafuata boerbell UG @2500USD kwa mbwa mkubw ailituu apate pure breed
  2. A

    Ufugaji wa Mbwa!

    Kuna breeder wana pure breed na wengi wanawanunua kwenye breed association kama umefuatilia hizi thread nilisema ukiwa na pure breed una mreguster kwenye association ya breeder wa hyo breed hvyo basi soko hutegemei tanzania na mfano mtoto w rotwailer wa miezi miwili ni usd 800..
  3. A

    Ufugaji wa Mbwa!

    Kwa ushauri tuu maana hii kitu tayari ni ajira hakikisha mbwa wako ni pure breed na wawe register kwa association ya hyo breed, hapo utapata wateja kutokea hadi ukraine mtu ana book kwa hyo site anakutumia hela wewe unasafirisha puppy
  4. A

    Msaada kuhusu kilimo cha bustani kwa mtindo huu kwenye picha

    Kwao ardhi ni bidhaa adimu kwa hyo ku practice hivi nibsawa kabisa..una weza iilinganisha na technology ya namna ingine ambayo mizizi haipo kwenye ungo inaninginia tuu ndani ya glass container alafu nutrients zote na maji vinakuwa sprayed ni expensive ku practice ila huko mbeleni wanaweza jenga...
  5. A

    Nina Shamba ekari 6 Mkuranga, ni kilimo gani chenye tija

    Ukipata nafasi tembelea ofisi za balton utapata mwongoo na ikiwezekana agronomist wakuwa anakutembelea
  6. A

    Nina Shamba ekari 6 Mkuranga, ni kilimo gani chenye tija

    Weka minazi.. Taduta miche ya kisasa ila itakuchukua takriban miaka mitatu kuanza kuvuna matunda
  7. A

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Mkuu nina taka kuingia kwenye kilimo target yangu kubwa ni horticulture,sana ni kilimo cha mboga mboga ikiwemo vitunguu nyanya karoti na hoho wazo langu kuu ni kuanza na kitunguu mwakani nifanye deployment ya horticulture kwa kitunguu kwa eka moja.. nimesikia swala la mvua kunyesha na kuozesha...
Back
Top Bottom