Recent content by activemedia africa

  1. A

    Maskini Saida Karoli

    Hahahaha Mbavu zangu!
  2. A

    Ushauri juu ya Toyota Noah na Toyota Voxy

    Habari Wadau. Naishi Dar, Nahitaji kujua tofauti kati ya Toyota Noah na Toyota Voxy, nahitaji kununua gari moja kati ya hizo. Sina uzoefu nazo na ningependa kujua kuhusu ubora, ulaji wa mafuta, gharama za service na kitu kingine chochote cha msingi kuzingatia ili niamue lililo bora kati ya...
  3. A

    Toyota Raum (Nyeusi) inauzwa

    Mkuu hapo ndio mwisho kabisa? unaweza kuni cheki tu-negotiate 0689653725
  4. A

    Toyota Raum (Nyeusi) inauzwa

    Mkuu ongeza kidogo tufanye biashara, jiongeze mkuu afu unicheki kwa 0689653725
  5. A

    Toyota Raum (Nyeusi) inauzwa

    Mkuu, Umebana sana, Ongeza tufanye biashara.
  6. A

    Toyota Raum (Nyeusi) inauzwa

    Huo ni Mtizamo wako Mkuu.
  7. A

    Toyota Raum (Nyeusi) inauzwa

    Mkuu, SIna hiace nina uza hiyo Toyota Raum .
  8. A

    Toyota Raum (Nyeusi) inauzwa

    Mkuu jiongeze kidogo tufanye biashara.
  9. A

    Toyota Raum (Nyeusi) inauzwa

    Naweza kukutumia zingine kwa whats app kama unataka mkuu. Nicheki 0689653725
  10. A

    Toyota Raum (Nyeusi) inauzwa

    Mkuu ongeza kidogo tufanye biashara, jiongeze mkuu afu unicheki kwa 0689653725
  11. A

    Toyota Raum (Nyeusi) inauzwa

    Umeshuka sana Mkuu, Ongeza bei tufanye biashara.
  12. A

    Toyota Raum (Nyeusi) inauzwa

    Angalia vema Mkuu, Picha ziko hapo juu, ukitaka picha zaidi naweza kukutumia pia.
  13. A

    Nanunua magari yenye thamani isiyozidi milion saba

    Ipo Tuyota Raum, Nyeusi namba BQX. Anagalia hii link hapa chini. https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/748623-toyota-raum-nyeusi-inauzwa.html
  14. A

    Toyota Raum (Nyeusi) inauzwa

    Mkuu, Ni mpiga picha tu, Ila kama unataka picha zaidi naweza tuma pia.
Back
Top Bottom