Recent content by ACT Wazalendo

  1. ACT Wazalendo

    GE2025 Zitto Kabwe anafanya Mkutano Mkubwa Kigoma, leo Oktoba 12, 2025, asema "Mimi ni Zitto yuleyule"

    Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, leo Jumapili Oktoba 12, 2025 anafanya Mkutano Mkubwa wa Kampeni katika Uwanja wa Community Center. https://www.youtube.com/live/FfJn75bEH7Y?si=XT0o3ke-vz7q0bIs...
  2. ACT Wazalendo

    GE2025 Mpina na Mgombea Mwenza wala kiapo Mahakama Kuu

    Jana Agosti 25, 2025 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Ndg. Luhaga Joelson Mpina, akiambatana na Mgombea Mwenza wake, Bi. Fatma Fereji, walifika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kukamilisha taratibu za kisheria za uchaguzi. Wagombea...
  3. ACT Wazalendo

    GE2025 Mwenyekiti Othman Masoud Othman Anazungumza na Wahariri, leo Agosti 23, 2025

    Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman anazungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari muda huu katika Hoteli ya Serena. https://www.youtube.com/watch?v=QALdEBBAQlk Mazungumzo ya Mgombea Urais wa Zanzibar Kupitia ACT Wazalendo na Wahariri wa Vyombo vya Habari, Serena Hotel...
  4. ACT Wazalendo

    GE2025 Luhaga Mpina akijibu maswali magumu ana kwa ana na Wahariri wa Vyombo vya Habari muda huu

    Leo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo, Ndugu Luhaga Mpina, pamoja na Mgombea Mwenza wake, Ndugu Fatma Fereji, watazungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari katika Jengo la Maalim Seif, Dar es Salaam, kuanzia saa 4:00 Asubuhi. #LindaKura #MuhuniHasusiwi...
  5. ACT Wazalendo

    PreGE2025 Dorothy Semu: Fedha za uchaguzi Mkuu zisitumike kuminya demokrasia

    ACT WAZALENDO YAPINGA MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZA UCHAGUZI MKUU Chama cha ACT Wazalendo kinapenda kuwajulisha wananchi wote wa Tanzania kuwa katika muktadha wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2025/26, tumechambua kwa kina matumizi yaliyotengwa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025...
  6. ACT Wazalendo

    ACT Wazalendo Yalaani Unyanyasaji wa Raia wa Afrika Mashariki Nchini Tanzania

    Chama cha ACT Wazalendo kinapinga na kulaani vikali matukio ya uvunjifu wa haki za binadamu, unyanyasaji wa kijinsia, na ukiukwaji wa mkataba wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, unaofanywa na mamlaka za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mnamo Mei 19, 2025, Kiongozi wa Chama cha Ukombozi...
  7. ACT Wazalendo

    PreGE2025 Kweweta Aingia Vitani Kupigania Heshima Kilwa

    Katibu Mkuu Kiongozi wa Baraza Kivuli la Mawaziri wa ACT Wazalendo, Ndugu Idrisa Kweweta, leo Mei 18, 2025, amechukua rasmi fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kilwa Kusini kupitia tiketi ya chama hicho, katika hafla ya kisiasa iliyojaa matumaini na hamasa ya mabadiliko. Fomu hiyo alikabidhiwa...
  8. ACT Wazalendo

    KC Dorothy: Leo Jeshi la Magereza limenizuia kumwona Lissu

    IBADA YA PASAKA GEREZANI: KUMTEMBELEA TUNDU LISSU Katika kuadhimisha Sikukuu ya Pasaka mwaka huu, niliamua kuitumia siku hii kwa namna ya kipekee kwa kwenda kumtembelea Ndugu Tundu Antipas Lissu, Mwenyekiti wa CHADEMA na pia Mwenyekiti wangu katika Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), aliye...
  9. ACT Wazalendo

    PreGE2025 Mchinjita: Tunataka mabadiliko, Kassim Majaliwa usituhadae!

    Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Bwana Isihaka Mchinjita ameshangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyoitoa bungeni kuwa hali ya demokrasia nchini imeimarika. Akizungumza na vyombo vya habari leo Aprili 10, 2025, Mchinjita amesema hotuba ya Waziri Mkuu Bungeni ilitarajiwa kutoa...
  10. ACT Wazalendo

    PreGE2025 Mchinjita: Mwaka 2025 ni Mwaka wa Mabadiliko

    Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, Bwana Isihaka Mchinjita amesema mwaka 2025 ni mwaka kuhakikisha kuwa vijana wa Tanzania hawatalia tena kutokana na ukosefu wa ajira na unyonyaji kazini. Maneno hayo ameyasema leo Aprili 04, 2025 katika...
  11. ACT Wazalendo

    Yasinta Cornely: Tunataka Maji Safi na Salama, Miaka 63 Bila Maji Inatosha

    Chama cha ACT Wazalendo tunaungana na mamilioni ya Watanzania nchini kuitaka serikali kumaliza tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama nchini. Leo Machi 22, 2025, tunapoadhimisha Siku ya Maji Duniani, ACT Wazalendo tunasimama kidete kupaza sauti kwa niaba ya mamilioni ya Watanzania...
  12. ACT Wazalendo

    Serikali Isitishe Mauaji na Uporaji wa Ardhi Katika Kijiji cha Kalilani - Kigoma

    Chama cha ACT Wazalendo tunalaani vikali vitendo vya kinyama vya mauaji, uharibifu wa mali, ukiukwaji wa binadamu katika operesheni za kuwaondoa wananchi kwa nguvu kwenye ardhi zao nchini. Tumesikitishwa sana na tukio la hivi karibuni katika Kijiji cha Kalilani, Kigoma la Seikali kupanga...
  13. ACT Wazalendo

    PreGE2025 Ado Shaibu: Hatutashiriki Vikao vya Baraza la Vyama vya Siasa

    TAARIFA KWA UMMA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA LIMEPOTEZA UHALALI Kamati ya Uongozi Taifa ya Chama cha ACT Wazalendo kwenye kikao chake cha tarehe 10 Machi, 2025 imeazimia kutoshiriki vikao vya Baraza la Vyama vya Siasa kuanzia kikao cha tarehe 12 na 13 Machi, 2025 kwa sababu zifuatazo;- 1...
  14. ACT Wazalendo

    Kuahirishwa kwa Mechi ya Simba na Yanga, Bodi ya Ligi Kuu ijitafakari

    Uamuzi wa kamati ya uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) kuahirisha mchezo namba 184 kati ya Young Africans (Yanga SC) na Simba SC uliokuwa uchezwe tarehe 08 Machi 2025, haukuzingatia hasara mbalimbali zilizotokana na kuahirishwa kwa mchezo huo, ikiwemo nafasi...
  15. ACT Wazalendo

    Waziri Pindi Chana Ajiuzulu; Vitendo vya ukatili mamlaka za hifadhi dhidi ya wananchi vimefikia hatua mbaya

    WAZIRI PINDI CHANA AWAJIBISHWE MARA MOJA – VITENDO VYA UKATILI MAMLAKA ZA HIFADHI DHIDI YA WANANCHI VIMEFIKIA HATUA MBAYA Msimamo wa ACT Wazalendo kutokana na matukio uvunjifu wa haki za binadamu yalifanywa na Mamlaka za Hifadhi nchini hivi karibu; kuuawa kwa kwa risasi za moto Ndugu. John...
Back
Top Bottom