Recent content by acrabill mack

  1. acrabill mack

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    hizo ni za pawabet asa kama unatumia kampuni nyingine sijui kama itakubali
  2. acrabill mack

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    wamepigwa sana kipindi hicho ndo maana siku iz wanazingua
  3. acrabill mack

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji1787]hapana bhna labda kama huwa unataka kucash out kwenye dakika za 80naa iv apo lazima igome
  4. acrabill mack

    Nimechoka, natafuta mume serious

    mwanaume/mwanamke wa kuishi nae huwa hatafutwi amekubwaga fresh fanya mambo yako jikite kwenye kufanya mambo yako ya maendeleo yakimaisha epuka kuwa daraja la mwingine la mafanikio kwenye maisha yako
  5. acrabill mack

    Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

    1.kuwa busy mda mwingi na mambo yako usikae loss hata kama hakuna kitu chakufanya basi ww jipe ili tu uwe busy na usiupoe ubongo mda wa kufikiria vilivyopita 2.jichanganye na watu 3.usitafute mtu mwingine kwa haraka kwaajil ya kuziba pengo 4.kama unapenda mazoez basi tumia mda mwingi kwenye...
  6. acrabill mack

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    forward ever backward never [emoji123]
Back
Top Bottom