Recent content by acontinuer

  1. acontinuer

    African Satellite World and Sat Gear

    All sky channels?
  2. acontinuer

    Nahitaji gaming PC, Kwa Tanzania ni wapi wanauza au ku build custom PC?

    Nenda machinga complex pale chini kuna office ya Mfaume au ukifika ulizia kwa Mfaume kuna stationary ukikosa hapo panda juu ulizia kwa chui ukifika hapo pembeni tu utaona utachagua unayotaka hadi ukitaka gaming monitor utapata 34 inch au 43 monitor zipo ushindwe wewe tu
  3. acontinuer

    Chaneli zaidi ya 23000+ kwa Tsh.9000/= kwa mwezi ila unapewa masaa 24 ya kuzitazama kabla ya kununua

    Kama mimi IPTV kwa sasa natumia zaidi ya miezi 5 ila sio mteja wa uyu jamaa ila anachosema kinaukweli coz utapewa test ili uone channels unazozipenda zinafanya kazi na kama hazifanyi kazi unachaanane ila ukiona zipo poa munafanya biashara ila inawafaa watu wa unlimited internet kwetu inapunguza...
  4. acontinuer

    Naamini mtu anayekufa anajua dhahiri juu ya kifo chake

    I believe mtu anayekufa anajua dhahiri juu ya kifo chake, Hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kusema kitu fulani kabla ya kifo kumpata. Undoubtedly true we've seen that several times. Majira ya saa mbili asubuhi wakati ADAM SHEBA amekwenda kuangalia mwili wa marehemu baba yake Eneo la mochwari ili...
  5. acontinuer

    Nina TV ya Samsung inch 43 android, inaniletea shida kiasi kwamba siwezi kuona chochote

    Upo sahii kabsa kanstua kusema sumsung ya android TV nikawadha hiii model ya 2024 au kapgwa
  6. acontinuer

    Ni site gani nzuri ya online shopping?

    Zote zipo fresh tu itagemea bidhaa utakayo ubora au mpya au used au kuingia kwenye mnada yani wewe Ndio muamuzi wa kutokana na itaji lako
  7. acontinuer

    Unafurahia channel zipi za DSTV?

    Channels za sports tu
  8. acontinuer

    Msaada: Computer yangu inasumbua

    Kama wewe sio fundi ni ngumu kukupa maelezo ya kina maana Kuna vitu vya kupima na pia najua multimeter una na hata ukiwa nayo ngumu kuitumia jinsi ya kuisoma
  9. acontinuer

    Jinsi ya Kupata Free unlimited internet?

    Doh🤦 aendelee kupambambana
Back
Top Bottom