Nenda machinga complex pale chini kuna office ya Mfaume au ukifika ulizia kwa Mfaume kuna stationary ukikosa hapo panda juu ulizia kwa chui ukifika hapo pembeni tu utaona utachagua unayotaka hadi ukitaka gaming monitor utapata 34 inch au 43 monitor zipo ushindwe wewe tu
Kama mimi IPTV kwa sasa natumia zaidi ya miezi 5 ila sio mteja wa uyu jamaa ila anachosema kinaukweli coz utapewa test ili uone channels unazozipenda zinafanya kazi na kama hazifanyi kazi unachaanane ila ukiona zipo poa munafanya biashara ila inawafaa watu wa unlimited internet kwetu inapunguza...
I believe mtu anayekufa anajua dhahiri juu ya kifo chake, Hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kusema kitu fulani kabla ya kifo kumpata.
Undoubtedly true we've seen that several times.
Majira ya saa mbili asubuhi wakati ADAM SHEBA amekwenda kuangalia mwili wa marehemu baba yake
Eneo la mochwari ili...
Kama wewe sio fundi ni ngumu kukupa maelezo ya kina maana Kuna vitu vya kupima na pia najua multimeter una na hata ukiwa nayo ngumu kuitumia jinsi ya kuisoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.