Kwann watu wanapenda kutukana ? Kwan kumwelimisha mwenzako kunaitaji matuc! Kama yanahitajika bac na walim wanapaswa kutumia matuc wanapofuneish mambo mbalimbali
HAMY-D binafc nilipiga kura ila kwa tafakari zangu za dhati kabisa nilitafakari mengi kabla na wakati wa mchakato wa kupiga kura, kwanza nilimwona lowasa hajakuwa kisiasa na hajakooma kisiasa kwa kushindwa kukubali matokeo yaliyotokea pale mjini dodoma wakati wa kutafuta mgombea wa ccm , hivyo...
Mm nina maoni tofauti kidogo na wachangiaji wenzangu , kwa mawazo yangu nahic mamulaka yenye kucmamia uchaguz zanzibar haijafanya haki kwa kutangaza mshindi kutokana na idadi ya wapiga kura na mavuno ya kura kwa wahucka, maana yangu ni kwamba kama kura za zanzibar zinarudiwa vipi hapa tangqnyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.