Recent content by achanamiti

  1. A

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Rais Magufuli na Rais Museveni mpaka wa Mutukula, Uganda

    :D:D:D:D magufuli we need u to guide ux :D
  2. A

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Rais Magufuli na Rais Museveni mpaka wa Mutukula, Uganda

    lawama ni asili wa mwanadam,xo wewe laumu tu
  3. A

    JamiiForums Tanzania HESLB yatoa majina ya mikopo awamu ya tatu 2017/2018

    je kuixhi kwako kunampendeza kila mtu
  4. A

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Rais Magufuli na Rais Museveni mpaka wa Mutukula, Uganda

    wewe mkuu said magufuli ni rais bora kuwah kutokea tanzania jaman nampenda magufuli mwokozi wa makapuku,maendeleo na demokrasia haviwez kwenda pamoja tambueni hilo
  5. A

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Rais Magufuli na Rais Museveni mpaka wa Mutukula, Uganda

    kwann hamjadili juu ya mbowe kuachia uchair chadema au ile ni demokrasia let ux think properly
  6. A

    JamiiForums Tanzania HESLB yatoa majina ya mikopo awamu ya tatu 2017/2018

    ukifiwa haimanishi watu wasilewe lahasha serikali haiwezi kutimiliza matakwa ya watanzania wote hata siku moja nani anayekubalika na watu wote hata muumba kuna watu wanamkataa sembuse serikali,serikali itapongezwa na kulalamikiwa mpaka miisho ya nchi,is not by how much we lose our hope life must...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    daima tutabaki kuwa nyuma ya mda
  8. A

    JamiiForums Tanzania HESLB yatoa majina ya mikopo awamu ya tatu 2017/2018

    Jaman wakuu tayar wamexhaweka percent tayar
  9. A

    JamiiForums Tanzania HESLB yatoa majina ya mikopo awamu ya tatu 2017/2018

    nooo wait hayo majina mia nne mkuu pengine muujiza wako uko hapo
  10. A

    JamiiForums Tanzania HESLB yatoa majina ya mikopo awamu ya tatu 2017/2018

    kwa kweli mungu awaumbie moyo wa subira inauma xana kukoxa mkopo
  11. A

    JamiiForums Tanzania HESLB yatoa majina ya mikopo awamu ya tatu 2017/2018

    yaliyofunuliwa ni halali yetu kuyanena yaliyofichwa ni ya mungu ,kwan mkuu ya mbele unayajua?
  12. A

    JamiiForums Tanzania HESLB yatoa majina ya mikopo awamu ya tatu 2017/2018

    yeah mkuu amepata kijana wangu mkuu alipelekwa bugando ada ningetoa wap mimi jaman
  13. A

    JamiiForums Tanzania HESLB yatoa majina ya mikopo awamu ya tatu 2017/2018

    mtu hana bud kuipongeza serikali kwa jambo hili jaman
  14. A

    JamiiForums Tanzania HESLB yatoa majina ya mikopo awamu ya tatu 2017/2018

    Namna ya kucheki vitu walivokusponsor unafanyaje wakuu
  15. A

    JamiiForums Tanzania HESLB yatoa majina ya mikopo awamu ya tatu 2017/2018

    tuliopata mikopo si kama vile tupendavyo bali apendavyo mungu,heshima na utukufu vina wewe mungu wetu lakini pia naishukuru serikali ya jamhuri ya muungano kutusaidia watoto wenye hali za chini
Back
Top Bottom