Hilo ndilo lengo langu Mkuu lakini nakwama mtaji.
Nimejaribu kujiajiri lakini mambo ni magumu (sina mtaji) nilifungua Duka la mangi lakini biashara ikafa kutokana na ugumu wa biashara na mtaji kuwa mdogo. Nikapambana kufungua biashara nyengine licha ya kuwa sina mtaji unaoeleweka lakini nayo...
Hili swali nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu bila ya kupata majibu 😭
Nimehitimu Diploma ya Uhasibu kwa shida sana, maana nilikuwa natumia nguvu ya ziada kutafuta wanafunzi wenzangu wanisaidie walichofundisha Lecturers Darasani kwakuwa nilikuwa sisikii wakifundisha.
Baada ya kufaulu na kupata...
Hili tatizo ninalo miaka zaidi ya 15.
1) Nimepoteza marafiki kwa kuonekana mzigo (Kunitenga).
2) Chuo nimesoma kwa tabu sana. Nilipata Diploma ya uhasibu na ufaulu wa kuendelea Degree lakini nilishindwa kutokana na ugumu wa kujifunza Chuoni.
INAUMA LAKINI NDIO HALI HALISI NILIYOKUWA NAYO...
Habari,
Kuna Chama Cha Watu wasiosikia vizuri Tanzania?
Mimi ninashinda ya masikio kupiga kelele kutokana na sikio la ndani kuwa na shida.
Nimehangaika sana mahospitalini lakini shida niliyonayo ni haitibiki (Tinnitus) ni ugonjwa wa kawaida na unawakumba watu wengine Duniani.
Naomba mwenye...
Mimi ni kijana niliesomea uhasibu kwa ngazi ya Diploma, na pia nimesomea ICT kwa ngazi ya certificate.
Nina changamoto ya usikivu hafifu.
Hali hii ya kutosikia vizuri imekuwa inaninyima fursa za ajira sana hadi ikafikia kipindi napata msongo wa mawazo.
Naomba mwenye uwezo wa kunisaidia...
Nauza SmartTv kampuni ya Hisense inch 40 kwa 500,000 tu.
Box na Risiti vyote vipo.
Tv haijawahi kwenda kwa fundi na wala haina shida yoyote.
Mawasiliano 0626753305
Napatikana Dar es Salaam.
Naomba mnisaidie ni wapi naweza kupata Microphone hizo Blue Yeti au SnawBall ice kwa DSM.
Mimi binafsi nimezunguka Kariakoo na baadhi ya maduka sehemu nyengine kama Makumbusho lakini sikufanikiwa kuzipata hizo microphone.
Wauzaji wengi wanasema hawana hizo microphone.
Mwenye kujua naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.