1.Amelelewa vizuri kisiasa,hana papara na ameijua vizuri sana system ya utendaji kazi serikalini kwa kufanya kazi ikulu kwa karibu sana na rais na kushuhudia jinsi serikali inavyoendeshwa. Pia amekaa katika baraza la Mawaziri kipindi chote alichokuwa ikulu na kuelewajinsi sera na mipango...
Ni jambo jema kwa sasa wazee(mababu) wakipumzika na wakacheze na wajukuu maana wameifikisha hii nchi hapa ilipo umeme ghali,maisha ghali na kama haitoshi wanawachafua vijana wenye uwezo wa kuongoza nchi kama wakuu wa nchi,mf Zitto na Makamba Jr
Mbowe mnafiki mkubwa wewe umepewa nyumba Dar na dodoma na mlinzi pamoja ofisi na VX, na pia ukimaliza kama kiongozi wa kambi rasmi bungeni utapewa mil200 kama kiinua mkongo lakini ukiachia uenyekiti tu utakosa hiyo fursa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.