Recent content by Accepted Mason

  1. A

    JamiiForums Tanzania Arusha na mabilionea majambazi

    Mimi nadhani hao si mabilionea ni watu corrupt au nitumie neno mafisadi wanaojua kutumia vizuri fursa za mfumo uliopo wa nchi na wa dunia kiujumla. Mfumo au system ikiwa mbovu isiyo na maadili na haki hutengeneza watu wa aina hiyo. Ni sawa na kuwaita BARRICK GOLD kuwa ni majambazi eti kwa kuwa...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Sintofahamu katika upatikanaji wa wajumbe wa baraza la katiba!

    Kwa mtazamo wangu binafsi naona watanzania bado ni wachanga sana kuweza kutunga katiba, tunacho takiwa kufanya ni kuiga katiba bora duniani ya Marekani na kufanya marekebisho kidogo kuendana na nchi yetu.Marekebisho hayo yafanywe na wataalamu waliobobea na wazalendo.Ili tuendelee tunahitaji...
Back
Top Bottom