Recent content by aby123

  1. A

    DAWASA Kinyerezi mna shida gani?

    Kabla ya malipo niliwauliza inachukuwa muda gani kuunganishiwa maji wakajibu siku 7 hadi 21 za kazi sasa baada ya malipo imepita miezi miwili sasa nikiwapigia wanadai vifaa hakuna hadi nafikiria wanatengeneza mazingira ya rushwa maana sio sawa hii.
  2. A

    Gharama vifaa vya umeme kwa Dar es Salaam

    Namba ya mawasiliano
Back
Top Bottom