Hapa natatanika kujenga guest ni dhambi ,na duniani kote kuna nyumba za kulala wageni ! Hakuna dhambi ikiwa utaweka sheria hairuhusiwa kupanga short time na wanaruhusiwa wana ndoa tu! Utakuwa umefanya wajibu wako kuzuia uchafu.Ni kama kusema Mwezi wa Ramadhani ni haramu kuuza chakula ilhali...
Tunamwomba Allah amrehemu na kumlaza mahali pema mama wa Mrisho Gambo. Ila kuna wanaombeza Gambo wakati huu wa msiba wa mamake,wajue malipo ni hapa duniani na wao iko siku wengine watasherehekea mazito yao.
Kwa tamaa zao na kuharibu jina la nchi yetu,wanapofikisha korosho kupimwa zimagwe na kukaguliwa kisha wazipaki,na kila ushirika iwe na nembo yake ili likitokea hadaa hizi iwajibike
Hizo sio akili za mange ila anatumika kama feni kupuliza moto kwa malipo uchwara huku wanaomtumia wanajifanya hawamo,.Hao wanaojiita wapinzani yaliwashinda wakijitokeza waziwazi na hata hili la kisirisiri watafeli, na sheria inachukua mkondo wake.Wale wa majibu ya matusi mshike adabu zenu in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.