Hahaha huu Uzi umebeba vitu vingi sana vya kujifunza ila mkuu maswali yako yako kilogic Sana'a yamekaa vzur inshort unaweza sema hiz nguzo tano za uislam zilianza kwa mtume Muhammad hao wengine walitumwa kwa wa2 specific tu ndio mana huon mitume iliyopita ilifata maana zama zao zme
Hahaha huu Uzi umebeba vitu vingi sana vya kujifunza ila mkuu maswali yako yako kilogic Sana'a yamekaa vzur inshort unaweza sema hiz nguzo tano za uislam zilianza kwa mtume Muhammad hao wengine walitumwa kwa wa2 specific tu ndio mana huon mitume iliyopita ilifata maana zama zao zmepita
Wew
Kwan mwenzetu sayansi gan ambayo imekuzaa ya Allah au ya nani maana umezaliwa na mwanamke ndio ukatoka au uumbaji wako uko wa kitofaut na sisi ulishuka tuu Allah ni mjuz wa mambo apo huna jibu
APA kwa mahakamani ni Quran inakua kama shahid wa mwisho kesi iishe maana utofaut umekuja APA kwa isa au yesu na Muhammad awaa wa2 wawili ndio kuna kitu
Tofautisha kati ya Quran ilikuja na lengo LA kujua mungu sio kumjua nani ana miaka mingap kaishi WAP hayo utayakuta kwenye vitabu vingine vya hadithi za mitume na maisha yao huwez kuta katiba ya Tanzania ukakuta na maisha ya viongozi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.