Recent content by abuu kathiir

  1. abuu kathiir

    Edward Lowassa hatoruhisiwa kugombea Urais!

    Ufisadi upo ccm sio Lowassa ndo ndo maana mnamwekea vipingamizi vingi lkn bd kawashinda na hakuna ushahdi ukumhukumu yakuwa fisadi nyie ccm mshakwisha mkubali kuachia madaraka .
  2. abuu kathiir

    UCHUNGU: Lowassa hawezi kuwa Rais tena popote duniani

    Hayo ni maoni yako lkn karibu kuiangalia tz wananchi wamechoka na siasa za ccm kila baada ya miaka mitano ahdi nyingi lkn wakipita hakuna utekelezaji watu wanataka mabadiliko wamechoka na siasa za kijanja
  3. abuu kathiir

    Hotuba ya Mbowe Kumkaribisha Lowassa

    Mi mwenyewe namkubal lowasa
Back
Top Bottom