Recent content by Abuu Dharr

  1. Abuu Dharr

    Jewish Community kujaza jiji la Gaza after War-Kama Ahadi ya Allah (sw)

    Hv ww unatofauti gani na Gaidi Chief?!!!
  2. Abuu Dharr

    Dr Shein asema Mwinyi alipangiwa kufundisha shule haina wanafunzi ikabidi awe anapita mitaani kutafuta wanafunzi

    Tunamuomba Allah akuongoze na akutoe katika chaka la uhasidi na chuki
  3. Abuu Dharr

    Hali ya Vijijini ni mbaya sana

    Bila kupoteza muda,hali ya amani katika Vijijini vyetu ni ya kusikitisha sana,Serikali wekeni umakini katika hili Kuna tukio limetokea hivi karibuni,katika Kijiji cha Magoza kata ya Kuparang'anda. Binti mlemavu wa masikio,macho na bubu,amebakwa mchana kweupe, ni hili la kubaka, ni jambo la...
  4. Abuu Dharr

    Naomba kufahamu solar itakayoweza kuchukua nafasi ya TANESCO nyumbani

    Uzi huu una umuhimu wake Ni sehemu ya ukombozi dhidi ya Majangili
  5. Abuu Dharr

    DOKEZO Wagonjwa wanapewa magonjwa ambayo hawana ili Zahanati ziuze dawa

    Hili ni la kawaida sana katika Hospital zetu. Wizi wa wazi bila ya huruma
  6. Abuu Dharr

    Niliyoyashuhudia Jeshini

    Katika ndoto yangu...Ilikuwa niwe mjeda Napenda sana. Basi tu.
  7. Abuu Dharr

    Miaka 55 ya BAKWATA: Tujikumbushe Historia Yake na Yaliyotokea October - December 1968

    Umoja na amani wenye nia chafu dhidi ya Uislam na Waislam Umoja huu unaouwita wa amani,unamanufaa upande mmoja tu ambao ni wa Kanisa na Watu wake Mumewakandamiza Waislam na bado mpaka leo hii mnawakandamiza eti kwa neno Umoja na amani Pumbavu zako.
  8. Abuu Dharr

    Naomba kuelimishwa kuhusu Shudhuly

    Hakuna usomaji wa mizuka....elewa hivi Chief Tafuta misiki ya Watu wa Sunna,hautopata shida
Back
Top Bottom