Udini udini udini Tanzania halafu eti tunawasema wakenya wanabaguana kwa makabila. Tanzania ndio hatari kabisa ukitajwa uislamu tu humu JF unaona jinsi nchi ilivyogawanyika kwa misingi ya dini. Ni hatari sana.
Na waangamie na wapotee kabisa. Wametuletea shida sana. Leo hii dini yetu eti imegeuzwa na kuitwa dini ya magaidi. Lakini wanayofanya mataifa magharibi sijui wanaitwaje
Niwaulize Waislamu wamewakosea nini wakristo wa Tanzania? Kama wa kujilipua wanajilipua kwa mambo yao na hao walipuaji ukitizama idadi ya wanauliwa na walipuaji Waislamu ni wengi zaidi kama ilivyo tokea siku hizi za karibuni huko Iraq na pakistani zaidi ya Waislamu 100 wameuliwa na hao...
Na hao wazungu waliowauwa waumini weusi wa kikristo ndani ya kanisa wao wanapewa nini? Eti ni kweli bwana anawaandalia mashoga wakustarehe nao. Ikiwa Waislamu wanapewa mabikra 72. Na mafundisho ya bwana yanadai nao wamewaandali mashoga mukule tigo.
Tatizo hilo mnapoaminishwa hivyo kuwa eti ni Waislamu. Wanajilipua na kuua wasio na hatia. Wanajilipua kwa sababu zao wenyewe na Allah hajasema. Si kuzungui mnazunguliwa na walio wazungua ni wazungu endeleeni tu kuaminishwa hivyo na ndivyo wanavyotaka na sababu kuu ni Uislamu kupinga ustaarabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.