Recent content by Abuhamos

  1. Abuhamos

    Tunauza tairi za magari makubwa na madogo kwa bei nzuri kabisa

    Tairi 225/55r17 napata kwa bei gani
  2. Abuhamos

    Kuna umuhimu gani wa kufanya skimming kwenye nyumba ?

    Swali zuri sana nasubir jibu na mm.
  3. Abuhamos

    Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

    Nilihamia mwaka 2021 nikiwa na miaka 28 ingawa nyumba ilikuwa haijakamilika
  4. Abuhamos

    Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

    LG hana hilo tundu mzee
  5. Abuhamos

    Je, naweza kuweka Chokaa?

    Chokaa nje n uongo mkuu
  6. Abuhamos

    Kwanini nyumba za Chamazi, Mbagala, Chanika zinauzwa sana?

    Mkuu hizo ni nyumba zisizochukua muda kukamilika na kama utamchukua mkaguzi wa majengo jibu atakalokupa ni kuamuru kubomoa tu haifai kwa matumizi ya binadamu. Nyumba zinajengwa kwa ajili ya biashara na sio kuishi wao.
  7. Abuhamos

    Mliowahi kutumia bati za kampuni ya BATI BOMBA LTD au kampuni zozote ndogo za mabati

    Mkuu kwanza fahamu hamna bati isiopauka rangi hasa kwa mazingira ya kama dar es salaam kinachotofautiana n muda wa kuchelewa kupauka tu ndo unatofautiana, nina shuhuda nyingi za bati toka alaf na sunshire ya kupauka baada ya muda kwa dar es salaam, unaweza fanya utafiti wa nyumba iliojengwa kwa...
  8. Abuhamos

    Wale tunaoanza Ujenzi 2022, Tupeane Start up Dondoo

    Sio mninga huo, unaweza kuwa n mtondoo but kujua aina ya mbao kwa kuangalia tu kwa picha n kazi ngumu sana mkuu amini
  9. Abuhamos

    Kiwanja cha futi 40 kwa 50 kinatosha kujenga nyumba?

    Hicho n sawa na meter 12 kwa 15 ambapo n sawa na 180 square meter, kinaweza kutosha kama utajenga nyumba yenye vyumba vya ukubwa wa kawaida tu sio vile vikubwa sana ila tu hutopata sehem hata ya parking ya gari kwa ukubwa huo, na unatakiwa upangilie vizur position ya kuiweka nyumba ili upate...
  10. Abuhamos

    Wale tunaoanza Ujenzi 2022, Tupeane Start up Dondoo

    Kwa uzoefu wangu mdogo, mwaga zege ila hakikisha tu linakuwa level then zinafata tiles hamna haja ya rough floor. Mara nyingi rough floor wanaweka watu wanaotaka kuhamia kwa nyumba kabla ya kuwekwa tiles ili kupunguza vumbi la zege.
  11. Abuhamos

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Shukhran kaka [emoji1317]
  12. Abuhamos

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Kaka sound bar n nzuri kwa matumizi yapi zaid?? Alafu naomba nieleweshe kuhusu watts kwenye izi sound bar na HT, watts ndogo na kubwa zina tofauti gan kwenye ubora.
  13. Abuhamos

    Naombeni kufahamu hatua za upakaji nyumba rangi kuanzia skimming hadi rangi ya mwisho

    Asante mkuu Naomba kufahamu prema ni kitu gani katika rangi.
  14. Abuhamos

    Naombeni kufahamu hatua za upakaji nyumba rangi kuanzia skimming hadi rangi ya mwisho

    Wakuu habari zenu, nataraji kufanya finishing kwenye kibanda changu nipo hatua ya skimming na rangi sasa iv, nilikua naitaji kueleweshwa kuhusu hatua za hio stage na material bora kwa ajiri ya skimming na rangi.
Back
Top Bottom