Recent content by Abubakar seleman

  1. A

    Naomba njia za kuroot samsung gt s53001

    Naomba ku jua njia za ku flash jamani nitu mie maujanja gani ili nii flash ........naomba link ya njia za Kutumia wakuu
  2. A

    Naomba njia za kuroot samsung gt s53001

    hapana nilipo reboot Niliunga in sha kwenye PC ;but hata hivyo nilifanyiwa hiyo kitu ya ku download zip files na OS nika ituma kwenye SD card then nika tumia ile njia ya ku press volume button up then hapo hapo una minya home b tton then una minya turn on button then una wipe kwanza then we...
  3. A

    Naomba njia za kuroot samsung gt s53001

    hapa kwa Hi Simu yangu in flash tuu coz Reboot imegoma asee
  4. A

    Naomba njia za kuroot samsung gt s53001

    Poa thanx nahs njia nzury ni ku flash
  5. A

    Naomba njia za kuroot samsung gt s53001

    Thanx xana ngoja nifanye hivyo
  6. A

    Naomba njia za kuroot samsung gt s53001

    Habari wadau simu yangu samsung gt 53001,imegoma kuwaka inaganda tuutuu, mara ya kwanza ilikuwa inaandika "mtp not support", yani fail zingine hazitaki kufunguka kama camera, file na apps nyingine zinagoma zinaandika hayo maneno nikai re boot ikakaa siku chache tuu ikagoma tena nikaambiwa...
  7. A

    Maelezo ya ku- root Android phones

    Habari wadau simu yangu Samsung galaxy 53001 inaniandikia "MTP Not SUPPORT, then file nyingine Hazitaki kufunguka nimereboot imegoma Wana niambia Nii flash vp kui root inakuaje, then naomba njia Za ku root kwa simu hii, Pia inagoma ku pull down zile program Za Bluetooth, mobile data na wifi
  8. A

    msaada pliiz

    Bado hawajatoa majina hata kwenye web yao hawataweka wiki inayokuja
  9. A

    Zile transfer za tcu

    Bado hawajatoa majina hata kwenye web hakun2 wanasema wiki ijayo yatakua tiale be patience on that.,
  10. A

    Zile transfer za tcu

    Bado hawajatoa majina hata kwenye web yao hawajaweka kuanzia wik inayokuja wamesema wataweka be patience when waiting...
  11. A

    Naomba nikusaidie please

    S0177/0003/2003 Bernard kinanda
  12. A

    Naomba nikusaidie please

    Ahsante bro nmeona kaka
  13. A

    Kubadilisha chuo

    Ndo naanza kaka fist year daa!
  14. A

    Naomba nikusaidie please

    S0197/0017/2010 ABUBAKAR KINYAGA naomba kuuliza je naweza kuhama chuo vp process zake?
  15. A

    Kubadilisha chuo

    Ahasante nimekuelewa kaka!!
Back
Top Bottom