Mbaya zaidi marekani n taifa selfish sana na mwenye nguvu ya ushawishi sahiv amepiga hatua moja nyuma Trump kama kawaida yake ni maslai ya marekani kwanza hawezi toa silaha nzito kama alivyosema ni ushauri tu ndo upo…Mungu asaidie hii vita wapatane hawa wa iran akili hawana wanaweza tumia ata...
Changanyikeni miaka ya nyuma walimalza wizi kwa hyo style ya sheria mkononi vijana walkula sana viberiti wakawa wanaishia msewe golani na makongo juu maana ilfika sehemu raia wamenogewa na kupga watu viberiti ata saa saba usiku ukipga wimbo wataifa watu hao..wezi walijifunza ata akiiba maeneo...
Hyo sio kauli eti watu wa dar…Endelea kukaa huko huko maana huna uelewa wala experience na wahuni ama kibaka tena mwenye silaha....wewe adui zako wa usiku ni wachawai na nyoka tu shamba huko ila dsm adui wa biandamu ni binadamu…sasa watu wako watatu na wana silaha za jadi washavuta booster akili...
Mimi sio mtu wakuchimba sana na siasa ila nashangaaga CAG kuitwa ajieleze bungeni kisa kutoa hati chafu ama utata wakauli wakati wanatakiwa kujua kweny kazi ya CAG kunakujaga hadi makampuni makubwa ya Audit kutoka nje ya nchi sas kuna madudu yaliozidi huwezi kuyaficha ila wabunge wao wanaonaga...
Wabunge wa special seat aseee % kubwa n vilaza sinui kwakua wameupata kwa kuteuliwa tu hawajatia pesa na ushndan majimboni wengi wanakaaga kimya wakiongeaga ni ujinga alaf still wanaclaim 5 years ni ndogo kwa special seat wakati aim ni kupata experience then waende majimboni wakapigane huko…sas...
Tengenezeni sare za kijiwe za kijani mtaheshimika hamtokamatwa kamwatwa hovyo…all in all kabla hujaingia kituoni hauna kosa ila ukshaingia una kosa, huyo uliemmention hapo akishafatilia atakuja na kosa lenu kaaeni kwa kutulia maafisa usafirishaji.
Naomba kuuliza nilisikia kukaa na mpenzi miaka miwili na zaidi wanaita ni dhana ya ndoa kisheria ila sio kimaandishi na ushahidi sas hapo si kwenye kugawana mali si wanafidia muda wake. Je ndo anaweza kupewa 1/3 ya mali kwa huo muda waliokaa?
Swali la pili kwa jamaa mmekaa miaka mingapi? na...
Siku hizi amna vita za chini za kina rambo na wavietnam jeshi sio namba jeshi ni teknolojia watu kumi wanaweza control drone 250 ndani ya dkk30 zkifanikiwa kufikia target zote madhara yake ni wanajeshi wako 5M wa ardhini na magobole yao na vike vilipuzi vya mjerumani watakachokfanya kwa miaka 8...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.