Jana tulimtuma mwl kuiba kura. Na wewe unajua hata kura zako siyo halali. Lakini wewe ni mmbunge halali wa serekali wa serekali isiyokuwa na kura halali. Tumepeleka watoto shuleni kusoma siyo kuiba mitihani. Wezi wa mitihani ni wale wenye uzoefu wa kuiba kura. Sasa wamehamia kwenye mitihani...
Nadhani Kimei ana shida ya kuchambua mambo ya siasa za ccm. Unaposema tu kwamba awamu ya 5 Vunjo ilitengwa na serekali ya ccm kusudi lilikuwa nini??Je wachaga wangapi wanaopenda siasa za kujikomba.
Asante sana Bashe. We're should think about fee market. Were function is demand and supply of goods is considered. Ficheni mchele soko haliwasubiri. Ukitaka kusaidia watu wako hakikisha soko limejaa. Bei inajipanga yenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.