Recent content by abrahamkombe

  1. A

    Prof. Mkenda: Shule nne zilizofanya Udanganyifu Mtihani kidato cha nne 2022 zichunguzwe na hatua zichukuliwe

    Jana tulimtuma mwl kuiba kura. Na wewe unajua hata kura zako siyo halali. Lakini wewe ni mmbunge halali wa serekali wa serekali isiyokuwa na kura halali. Tumepeleka watoto shuleni kusoma siyo kuiba mitihani. Wezi wa mitihani ni wale wenye uzoefu wa kuiba kura. Sasa wamehamia kwenye mitihani...
  2. A

    Charles Kimei: Vunjo tunaanza upya. Katika awamu ya 5 kulikuwa hakuna ushirikiano na Serikali. Mrema na Mbatia hakuwaleta maendeleo Vunjo

    Nadhani Kimei ana shida ya kuchambua mambo ya siasa za ccm. Unaposema tu kwamba awamu ya 5 Vunjo ilitengwa na serekali ya ccm kusudi lilikuwa nini??Je wachaga wangapi wanaopenda siasa za kujikomba.
  3. A

    Sasa huyu Bashe kamsaidia mkulima au kamuangamiza? Huu mchele wa Ruzuku unaweza kuuzwa 1,500/- kwa kilo

    Asante sana Bashe. We're should think about fee market. Were function is demand and supply of goods is considered. Ficheni mchele soko haliwasubiri. Ukitaka kusaidia watu wako hakikisha soko limejaa. Bei inajipanga yenyewe.
  4. A

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Tunamkumbuka kwa kuua,kupotèza watu na kuiba pesa za serekali ukabilka ubabe na uonevu
  5. A

    CCM ina misingi imara sana; kama wewe ni mpinzani na unabisha umeshafeli

    Jadilianeni basi aina ya mitambo mnayotaka kufunga huko bungeni ccm ina wabunge kwelikweli wanataka mitambo bungeni
  6. A

    CHADEMA msimamo wenu kwa mashoga ni upi?

    Msimamo ni wewe kuwa shoga tuuu
  7. A

    Usaliti ni laana mapokezi yake yadoda, tutashitakiwa MIGA yamponza

    Badala ya Jilala ingekuwa Jilala kabisa ndio inalingana na wewe.
  8. A

    CHADEMA mtatoka na ajenda gani baada ya kurudi kwa mikutano ya hadhara ya siasa

    Umeumwa sana moyo chadema haukutoki mdomoni uchawa unakuumiza. Kunywa sumu
  9. A

    Freeman Mbowe akutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania

    Hatastaafu mpaka wewe johnthebaptist utakapokuwa haupo maana jamaa amekuwa kero kwa machawa sana
  10. A

    Nini kimeiua CHADEMA? Walikosea wapi? Vyama vingine vya upinzani vijifunze kuepuka kibri cha kupendwa

    Hizi ni ng'ombe zilezile chadema ni imara sana sasa ukichezea moto tuuuuuu
  11. A

    Hizi ndizo sababu za CHADEMA kuanzia mikutano yake Mwanza

    Naona hizi takataka zimekuwa ng'ombe kabisa hazitaki hata kufikiri tena.
  12. A

    Kilichowakimbiza Tanzania ni madeni, ila wakaamua kumsingizia mtu fulani

    Kulwa Jilala huna tofautj na ng'ombe, ng'ombe haijui privacy. Pili pili usioila yakuwashia nini.
  13. A

    Rais Samia atasafiri kwenda Uswisi Kushiriki Mkutano wa Uchumi wa Viongozi wa Dunia

    Acheni uchawa wenu Mh Raisi anatimiza waji wake aliopewa na watanzania. Tumemwajiri kwa ajili hiyo.
  14. A

    Maridhiano bila Suala la Wabunge Fake 19 Kuisha ni Tatizo

    Idawa una tabia mbaya ya kumwekea Mbowe maneno ya uwongo. Hiyo uchawa wako ni wakutukana wengine. Na wewe ukitukanwa usilalame.
Back
Top Bottom