Recent content by Abrah GI

  1. A

    Mtwara: Mwanafunzi wa kidato cha 1 aandika barua kwa Mwalimu Mkuu akisema Shule imemshinda

    😄😄yaani anamkosoa mwenzake alafu hajajitathimini na yeye binafsi😄... that's why tunasema first you need to judge yourself then try to correct your neighbor.
  2. A

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Ume show love saafii👏🏾
  3. A

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    🙏🏾Shuk Yah sure aise ..hiyo ndo muhim Sana
  4. A

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    🙏🏾Shukran mkuu
  5. A

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    ila watu bado wanazidi kurupoti Hadi Leo watu wameingilia Kati kozi...kwahyo kama ulipgiwa hukupatikana au hukupokea hawarudii tena..japo kupiga simu ni kweli walipiga na bado wanapiga...
  6. A

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Cha muhim tu kuwa hakuna mtu anaetakiwa kukata tamaa as long kila mtu yupo katika kutengeneza mafanikio basi hatuna budi kupambana huku na huku na Mungu mwema atatufikisha pale tunapostahil kufika...tuzingatie kujituma, kukimbilia Fursa na kuishi na watu vzuri lakini Cha zaidi na zaidi ni...
  7. A

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Alipigiwa na watu wa magereza..na vilevile professional yake Kuna mdada namjua alichaguliwa lakini kumbe hajaenda kuripoti kiwila kwahyo Kati ya nafasi zilizokuwa za hyo professional bht nzuri nilikuwa nawafaham kwahyo akasema yule mdada hajaripoti...baadae akapigiwa reserve huyo rafiki yangu...
  8. A

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Amefurahi Sana rafik yangu maana jamaa alikuwa street kwa miaka 3 na nusu toka amalize chuo lakini Mungu mwema Kuna wakati sahihi ukifika juu yako hakuna wa kulipinga
  9. A

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Kuna jamaa yangu mmoja kainipigia simu Jana akaniambia kuwa amepigiwa simu ghafla na akaambiwa Jumatano afike dodoma...nkamwambia hongera sana lakini sikuongea nae meng Mana nilikuwa busy kdg alivyonipigia ila nahisi wanapiga simu kwa watu hao 200 waliopelea na wengne ndo hvyo sehem nyingne...
  10. A

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Utiifu ndo Jambo la muhim kuliko chochote kile katka maisha ...maana Kuna mfano wa jamaa mmoja kwa street alifanyiwa connection kuingia TPDF kufika kule akasadikika kafanya yake na manzi na alikuwa akitumia vilevi kwa Sana...mda huo tayari ashaanza kuvaa bakabaka na belt ipo kiunoni baadae...
  11. A

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    ila vibe la disco hapo mambo matam Sana😂😂...ila Nini komaa askari Mungu atafanya heri kozi itaisha na utamaliza salama...Mungu wetu sote sikuzote ✊🏽
  12. A

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Watu wamepotea😃😃
  13. A

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Anha sawasawa mkuu
  14. A

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Uhamiaji round ya kwanza walichukua mda gani kutoka siku ya deadline Hadi kutoa pdf ya usahili km mtu anakumbuka vzr asaidie hapa
  15. A

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Makamanda mmepoa Sana shida Nini au mmepata mteru wa kukata tamaa mapema hivii kwli!!
Back
Top Bottom