Recent content by AbouMuJahed KIpoto

  1. A

    Dhahabu kilo 53 yakamatwa uwanja wa ndege wa Mumbai kutoka kwa wasafiri waliotoka Tanzania

    Ktk taarifa hiyo walisema sehemu ya dhahabu hiyo ni kutoka Tz sio kiasi chote hicho
  2. A

    Ubunge ni fursa na ulaji; Kipindi cha miaka mitano(5) ni kirefu sana

    Siungi mkono vipindi viwili au Ukomo kwani kuna watu potential muhimu tuimarishe mchakato wa upatikanaji uwe huru na haki
  3. A

    Tuache kudanganyana hakuna gesi iliyowahi kuuzwa na kusafirishwa kwa bomba kwenda nje ya Tanzania

    Una ufahamu mdogo sana wa masuala ya gesi ila ni kwa vile unaowaelekeza hawana kabisa , jifunze kwanza uongeze maarifa Google haitoshi pekee mtafute expert wake
  4. A

    Mavuvuzela ya Katiba Mpya namma yanavyowachanganya wananchi

    WanaJF, Uzi nauandika nikiwa na hofu ya misleading kubwa ktk suala hili la Katiba Mpya, ni kweli Katiba Mpya ni muhimu sana kwa kuwa ya sasa ina matundu makubwa sana lakini nachosikitika kuchukuilwa kwa agenda hii kama mradi wa kisiasa kwa vyama vya upinzani na waliopoteza mvuto wa kisiasa kwa...
  5. A

    Hofu ya CCM na wana CCM kuhusu Katiba

    Lea maoni Mama tumuache naamin ataleta katiba mpya ktk kipindi chake cha pili cha uongozi kama alivyofanya JK tumpe muda
  6. A

    GE2020 Mbeya na Iringa bado ngoma ngumu kwa CCM

    Dar wengi ni wa kuhamia kutoka mikoani waliomaliza elimu ya msingi na wengine kuishia std3
  7. A

    Katika vita ya kiuchumi, naona dalili za kupigwa TKO raundi ya kwanza, nashauri turudishe majeshi nyuma.

    Uzi una content Binafsi hoja yako ni kweli pia kuna kitu cha kujifunza ni kweli ukitaka kujenga uchumi esp kwa nchi za dunia 3 vita ni kubwa kutoka kwa mabeberu ila nafikiri kuna jambo la kushauri hapa kwanza mi sioni sababu ktk kujenga nchi kiuchumi kuendelea kuvaa koti la chama coz hivi vyama...
  8. A

    Hizi "voice note" za kuingiliwa mawasiliano sio fake wala za kutengenezwa kama inavyodaiwa(?)

    Muhimu hapa kuzingatia kipi kilianza kutokea kati ya waraka na clip bila shaka itakuwa ni waraka, kama ni waraka basi wazee hawakupanga kuzungumza yale waliyozungumza ila baada ya kuguswa na waraka ulikuja baada ya kuzungumzwa na Musiba so tuwekane sawa hapa mkuu tusipotoshe umma
  9. A

    Bashe ametumia dakika 15 tu kupata Unaibu Waziri wa kilimo

    Maisha ni kutumia fursa hongera mh. Bashe kwa kupewa dhamana ya unaibu waziri ila imempasa kutumia dakika 15 tu za kuongea na waandishi wa habari na kuupata unaibu yaani hivi ndugu. Huyu jamaa kwa muda mrefu alikuwa ktk kundi la wabunge wanaongea nukta muhimu michango yake bungeni ilikuwa ni...
Back
Top Bottom