Recent content by abouhesham

  1. abouhesham

    Serikali kujenga Shule Maalum za Sayansi kwa wasichana pekee imekaaje?

    ingekuwa post inawahusu wale jamaa wa talebani watu wangeposti udini humu maana maslahi ya mwanamke mnayapinga yakisimamiwa kwa misingi ya mafunzo ya dini fulani lakin ukweli utazidi kuwalazimisha kiutendaji mfanane nao japo kikauli mnatupiana shutmah!
  2. abouhesham

    Nimeamua kuoa Msabato

    ok, tunashukuru kwa kutujulisha kuwa umefika salama kabla ata ya kuvuka mto
  3. abouhesham

    Mapadri 3000 wagundulika kuwadhalilisha watoto kingono tangu 1950, Ufaransa

    Hoja yako dhaifu mwamba, na hayo ni maneno ya mkosaji jibu hoja acha kukimbilia vichakani ili kutafuta usawa , yule mwalimu wa madrasa, na huko ni padri hivi uwiano hapo unapatikanaje, kule maelfu ya kesi za unajis watoto huku mamoja na bado kuna yasiyochunguzwa, mimi nimewahi kusema Waislamu...
  4. abouhesham

    Nahisi mke wangu anachepuka

    ukisema bora waachane ataacha hadi ndoa ngapi mkuu , maisha yalishabadilika sana siku izi karibia jamii nzima imejaa uzinzi hata huko unapopadhania akimbilie huenda ni pabaya kuliko atakapotoka ni kwa sababu tu unapaona ukiwa nyuma ya pazia.. mimi nashaur asonge mbele madamu hajamshika waziWaz...
Back
Top Bottom