Kisheria inaruhusiwa....kiuhalisia wa watu weusi kukuruhusu nauona ugumu. Lakini wanatoa yupo mshkaji namjua amekula mchongo kwengine na anabarua ya Tamisemi kabisa likizo bila malipo
Anaruhusiwa vizuri tu...
Iwapo mtumishi wa Serikali amepata mchongo sehemu nyengine anaruhusiwa kwenda kwa kujaza Fomu ya likizo na wanatoa ruhusa ya miaka minne then unarenew but kwa roho mbaya za maafisa utumishi kukuruhusu n ngumu
Mimi ni Capitalist
Na Capitalist anakaa penye population so Its Dar, Arusha city (sio wilayani) Mwanza Jiji na Mbeya Jiji........ Huko kwengn nitakwenda kununua mazao.
Hapafai wanapaweza wenyewe wenyeji..... kwa kifupi tu kagera yote na chato nisingeenda haiwezekani nitoke Dar to kagera........ kwanza kusafri zaidi ya masaa 8 kwenye bus ni kipengele unakaa kila mtindo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.