Recent content by abla

  1. A

    JamiiForums Tanzania Jamani wadada wenzangu tusaidiane mawazo hii mijanaume inayopenda kula pesa zetu na zao kuwa wakavu

    Mm nakerwa sana na hii tabia lkn japo siwez kuiepuka sababu naweza kusema mm nj mtu mwenye aibu sana na hasa kitu changu nitahiyar ninyamaze na nikisamehe,siwez kusema nahonga maana kuhonga nikutoka kitu mojakwamoja kwa nia ya kumpa mtu(mwanaume) lkn utakuta uko na mtu mnakwenda sehemu na...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Hivi hili lina ukweli?

    Kiukwel si kwel dada unajuwa nn mtu unapokuwa ktk mapenzi ya dhati na uko tayar kujenga maisha na mwenza wako unakuwa tayar na unakabili jambo hilo,maana hawa wanaume zetu wasasa wengi tusipoangalia hakuna future mm naona ni vizur kuwa muwazi ujuwe anamsimamo gani na ww na sidhan kama unakuwa...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Mumeo akiwa anampenda mtu mwengine na wewe unalijua hilo unafanyaje!!!!!?

    Mhhhh hatar jaman lkn honest amanda ww ni superrrrrr duh!
  4. A

    JamiiForums Tanzania Kwenda toilet kwa wanandoa

    Upumbavu
Back
Top Bottom