Recent content by Abeto Malakoti

  1. A

    Pascal Mayalla anafaa kuwa Msemaji wa Serikali

    Atafanya vizuri tu kwa kuwa ana uwezo.
  2. A

    Pascal Mayalla anafaa kuwa Msemaji wa Serikali

    Unachosema sio kweli hata kidogo. Kwa mujibu wa Kifungu cha 4 (1) cha Sheria ya Huduma ya Habari, 2016, Rais anatakiwa kumteua mtu kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali iwapo ana sifa zifuatazo; (a) Ana uadilifu wa kiwango cha juu; (b) Ana elimu na uweledi katika moja wapo ya maeneo ya taaluma...
  3. A

    Pascal Mayalla anafaa kuwa Msemaji wa Serikali

    How? Be pleased to share with us further and better particulars with regards to lack of integrity on part of Mr. Mayalla.
  4. A

    Pascal Mayalla anafaa kuwa Msemaji wa Serikali

    Mkuu ninakuelewa, it is possible akapewa hiyo post lakini she is not fit for that post, Paschal Mayalla deserves more to hold the post of Chief Government Spokesperson.
  5. A

    Pascal Mayalla anafaa kuwa Msemaji wa Serikali

    She is unfit for the post.
  6. A

    Pascal Mayalla anafaa kuwa Msemaji wa Serikali

    Mapungufu gani? Mbona hautaji hayo mapungufu? The failure to mention expressly such mapungufu permits me to draw adverse inference against the veracity of your allegation.
  7. A

    Pascal Mayalla anafaa kuwa Msemaji wa Serikali

    Yuko vizuri sana lugha ya malkia
  8. A

    Pascal Mayalla anafaa kuwa Msemaji wa Serikali

    Prof. Kabudi ni polymanth, uliza wanaomjua.
  9. A

    Pascal Mayalla anafaa kuwa Msemaji wa Serikali

    Kwa kuwa Dkt. Hassan Abbas ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ni ambayo ni nafasi yenye majukumu mengi na mazito ya kiutawala huku akiendelea kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali, ni rai yangu kuwa Rais amteue Msemaji Mkuu wa Serikali mpya ili Dkt. Abbas apate...
  10. A

    Fatma Karume vs Attorney general: Who is legally right with regards to stay of execution in Bob Chacha Wangwe's constitutional case?

    Please can you help us to make legal analysis as to whether the section 7 (1) and (2) of national election act involves continuous breach of the provisions of constitution involved in the constitutional case of Wangwe as to fall within the exception No. 1 revealed by you in your article. I...
Back
Top Bottom