Recent content by ABEL MUSSA

  1. ABEL MUSSA

    JamiiForums Tanzania Nyie fauluni, tutakutana kwenye ajira

    Kina Mzee Wasila😂🤣🤣
  2. ABEL MUSSA

    JamiiForums Tanzania Nyie fauluni, tutakutana kwenye ajira

    Anza kupeleka pesa kidogo kidogo kule Ajira portal 😂 😂
  3. ABEL MUSSA

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbowe awa motivation speaker baada ya kuangukia pua Uchaguzi CHADEMA, aibuka na ujumbe wa kiroho

    Inategemea na Dactary atakaehusika kumtibu😂
  4. ABEL MUSSA

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbowe awa motivation speaker baada ya kuangukia pua Uchaguzi CHADEMA, aibuka na ujumbe wa kiroho

    Me ninachokijua kila mtu atachanganyikiwa kwa Wakati wake ngojeni tu🤣🤣🤣
  5. ABEL MUSSA

    JamiiForums Tanzania Je, hii ndiyo sababu ya mtoto kufanana sura na mzazi wake?

    Ninachokifaham hapa Sura ya Mtoto inatengenezwa Wakati wa Mama Mjamzito kulea Mimba Mama anapitia nyakati Gani ikiwa utamuacha peke Yake ukamtenga angalia atakaekuwa nae karibu akimfariji na kumtia moyo Hapa huenda Rafiki yako au ndugu Yako ambae atakua anaongea nae vizuri hapo ndipo sura ya...
  6. ABEL MUSSA

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa mtoto anayetapika na kuharisha

    Uandishi wako hauna shida kabisa tunachokiangalia ni hitaji lako kama limeeleweka tu haya mengine ya kawaida sana Uamuzi uliofanya ni sahihi kumpeleka Hospitali Watu tunapaswa tuachane na Iman kubwa za kujaribishia Dawa kwa Watoto et ngoja nijaribishie na hii dawa Muda unazidi kwenda hatimae...
  7. ABEL MUSSA

    JamiiForums Tanzania Dawa ya tumbo la chango kwa watoto wachanga

    Nimeikubali hiii
  8. ABEL MUSSA

    JamiiForums Tanzania Dawa ya tumbo la chango kwa watoto wachanga

    Hakika hili ni Tatizo kwa Watoto wa umri chini ya miezi 3 niko na mapacha Wawili wa kiume wanasumbua sana But nimekubali Mawazo ya humu watu wako well sana hii ya chumvi na sukari kias ni special sana maana ni Rahisi kwa wote na inasaidia chemsha maji hakikisha yamechemka tia kijiko 🥄🥄 cha...
Back
Top Bottom