the politics of nigeria is quite different na za hapa bongo wenye ndoto yakuondoka kwa ccm waendelee tu kuota hata mchana oteni ilaccm kutoka ni tabu na hatuwezi kuwaingiza madalali marakani HAKUNAGAAAAAAAAA,,,,......
upinzani saa zingine wanakosa hoja ila waongee tu waonekane na wanachi na waonekana wanapinga serikali ambao ni kigezo kwa vyama vya upinzani katika bara la AFRICA kushika dola kwa kupinga serikali
jambo ambalo ni ujinga na uvivu wa mawazo wa waafrica
Mm mwenywe ni mkazi na muhumini wa mabadiliko ya mkoa na jiji letu la arusha... Lema hatutoshi tena
....anafuruga amani na kufanya utalii na wafanyabiashara kushindwa kufanya kazi zao
.....sio mwanamapinduzi wa maendeleo ya kweli amekuwa mwanamapinduzi wa vyama
....hana fikra endelevu watakayo...
sasavipi barua yenyewe haina muhuri unaodhibitisha imetoka kwa polisi wa london hata mm naweza tunga kama hyo......au mnataka nifanye hvyo ILA PONGEZI KWA KUTAMBUA MGOMBEA WA CCM NI ENL T2015
wewe watu wakikataa UTUMWA na udikteta ni wasaliti nani kakufundisha hvyo elimu ya tanzania haiko hvyo.......
ila mimi si mwa ACT wala CHADEMA ila cjapenda udikteta wa taasisi ya mbowe na wenzake.
hivi mgeni miongoni mwa wageni rasmi kama LIPUMBA atakuwepo itajenga taswira gani??? na je kauli ya ZITTO hapo mwanzo ya kuwa lipumba ni mlezi wake itatafithiriwa vipi na wadau wa siasa......???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.