Recent content by Abdull hameed

  1. A

    H-Pylori ni hatari sana. Kichwa kuuma kizunguzungu kama nataka kuanguka

    Nimetimiza zile siku za kusubiria ili nikapime tena wakuu mdudu bado yupo ila hakuna kuumwa tumbo ni kichwa kuuma kizunguzungu kama nataka kuanguka, mwili kuchoka, kuhisi kama kuna kitu hapa kifuani upande wa kushoto aiseee huyu mdada atari mno..nimebadilishiwa dozi tena full madawa😭😭
  2. A

    Muda wa kurejea kupima H-PYLORI

    We nawe jau kweli jeneral gani una mambo ya kike
  3. A

    Muda wa kurejea kupima H-PYLORI

    Nimeelewa vizuri sana ahsante kwa maelezo mazuri
  4. A

    Muda wa kurejea kupima H-PYLORI

    Kiongozi izo dawa nilopewa nimemaliza zote na daktari kaandika kabisa siku 7 na dawa zote zimeisha nilopewa
  5. A

    Muda wa kurejea kupima H-PYLORI

    Wakuu habari za kwenu njooni munipe muongozo juzi kati nilikutwa na h-pylori kipimo kilotumika ni cha damu,nikapewa dawa za kutumia amoxicillin,metronidazole na pantroprazole nimetumia siku 8 zimeisha hivi natakiwa nikae muda gani ili nirudi tena kuhakikisha kama nimepona?
  6. A

    Naomba kueleweshwa juu ya H-Pylori

    Kutokana na kuumwa na kila kitu bila kujua tatizo nn nimejisogeza hosptal katika vipimo nikaambiwa damu ni nyingi km 18.8 lkn nikaambiwa nina h-pylori na mm siumwi tumbo naomba kueleweshwa juu ya huyu bacteria anaweza kukupata bila maumivu ya tumbo?
  7. A

    Naomba dawa ya miguu kuwaka moto

    Hapana sijaenda ndio maana nataka ayo mawqzo nianzie wapi
  8. A

    Naomba dawa ya miguu kuwaka moto

    Habari wakuu kwa anaejua naomba anisaidie dawa ya miguu kuwaka moto baadhi ya muda miguu yangu inawaka moto anaejua dawa anisaidie tafadhal
  9. A

    Naanza maisha ya kuvaa miwani, dua zenu nipone haraka

    Mm naona mbali naona na karibu unaelewa lkn sina tatizo la kuona ndugu yangu angalia vizuri tatizo langu sio kuona mkuu
Back
Top Bottom