Recent content by Abdull hameed

  1. A

    JamiiForums Tanzania Nataka kwenda Mtwara, vipi nauli zake na wapi napata basi

    Wakuu nipeni ratiba safari ya Mtwara mimi natokea Zanzibar nataka kwenda Mtwara naishia Mtama ninachotaka kujua bus la Mtwara napandia wapi pia nauli ya bus bei gani?
  2. A

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anakaa siku 5 hapati choo kikubwa

    ni kawaida tu kama vile nakula kila siku bas naweza kuumwa kila siku ni vile mungu ameamua na hosptal nafika vizuri tu ila bado mungu hajaleta kheri yake katika uponaji
  3. A

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anakaa siku 5 hapati choo kikubwa

    Nimeichukua bro nitalifanyia kazi
  4. A

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anakaa siku 5 hapati choo kikubwa

    HApana nina ndugu lakini haitwi ivo wala hatumii hii app kwanini kaka
  5. A

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anakaa siku 5 hapati choo kikubwa

    Labda nijaribu ukwaju ivo vyengine nimeshafanya
  6. A

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anakaa siku 5 hapati choo kikubwa

    Wakuu habari zenu naomba kusaidia jambo kama nilivyoeleza apo haja kubwa imekuwa shida kwa mke wangu hii hali inamtesa sana naomba mwenye kujua dawa anisaidie nimehangaika mno
  7. A

    JamiiForums Tanzania H-Pylori ni hatari sana. Kichwa kuuma kizunguzungu kama nataka kuanguka

    Nimetimiza zile siku za kusubiria ili nikapime tena wakuu mdudu bado yupo ila hakuna kuumwa tumbo ni kichwa kuuma kizunguzungu kama nataka kuanguka, mwili kuchoka, kuhisi kama kuna kitu hapa kifuani upande wa kushoto aiseee huyu mdada atari mno..nimebadilishiwa dozi tena full madawa😭😭
  8. A

    JamiiForums Tanzania Muda wa kurejea kupima H-PYLORI

    We nawe jau kweli jeneral gani una mambo ya kike
  9. A

    JamiiForums Tanzania Muda wa kurejea kupima H-PYLORI

    Nimeelewa vizuri sana ahsante kwa maelezo mazuri
  10. A

    JamiiForums Tanzania Muda wa kurejea kupima H-PYLORI

    Kiongozi izo dawa nilopewa nimemaliza zote na daktari kaandika kabisa siku 7 na dawa zote zimeisha nilopewa
  11. A

    JamiiForums Tanzania Muda wa kurejea kupima H-PYLORI

    Sawa kiongozi
  12. A

    JamiiForums Tanzania Muda wa kurejea kupima H-PYLORI

    Wakuu habari za kwenu njooni munipe muongozo juzi kati nilikutwa na h-pylori kipimo kilotumika ni cha damu,nikapewa dawa za kutumia amoxicillin,metronidazole na pantroprazole nimetumia siku 8 zimeisha hivi natakiwa nikae muda gani ili nirudi tena kuhakikisha kama nimepona?
  13. A

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa juu ya H-Pylori

    Kutokana na kuumwa na kila kitu bila kujua tatizo nn nimejisogeza hosptal katika vipimo nikaambiwa damu ni nyingi km 18.8 lkn nikaambiwa nina h-pylori na mm siumwi tumbo naomba kueleweshwa juu ya huyu bacteria anaweza kukupata bila maumivu ya tumbo?
Back
Top Bottom