Wakuu nipeni ratiba safari ya Mtwara mimi natokea Zanzibar nataka kwenda Mtwara naishia Mtama ninachotaka kujua bus la Mtwara napandia wapi pia nauli ya bus bei gani?
ni kawaida tu kama vile nakula kila siku bas naweza kuumwa kila siku ni vile mungu ameamua na hosptal nafika vizuri tu ila bado mungu hajaleta kheri yake katika uponaji
Wakuu habari zenu naomba kusaidia jambo kama nilivyoeleza apo haja kubwa imekuwa shida kwa mke wangu hii hali inamtesa sana naomba mwenye kujua dawa anisaidie nimehangaika mno
Nimetimiza zile siku za kusubiria ili nikapime tena wakuu mdudu bado yupo ila hakuna kuumwa tumbo ni kichwa kuuma kizunguzungu kama nataka kuanguka, mwili kuchoka, kuhisi kama kuna kitu hapa kifuani upande wa kushoto aiseee huyu mdada atari mno..nimebadilishiwa dozi tena full madawa😭😭
Wakuu habari za kwenu njooni munipe muongozo juzi kati nilikutwa na h-pylori kipimo kilotumika ni cha damu,nikapewa dawa za kutumia amoxicillin,metronidazole na pantroprazole nimetumia siku 8 zimeisha hivi natakiwa nikae muda gani ili nirudi tena kuhakikisha kama nimepona?
Kutokana na kuumwa na kila kitu bila kujua tatizo nn nimejisogeza hosptal katika vipimo nikaambiwa damu ni nyingi km 18.8 lkn nikaambiwa nina h-pylori na mm siumwi tumbo naomba kueleweshwa juu ya huyu bacteria anaweza kukupata bila maumivu ya tumbo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.