Anataka kuifanya elimu bure eeh from primary to university uwo ni uwongo mtupu mfano enzi za nyerere mababu zetu wengine walikuwa wanadanganywa kwa kusoma darasa La kwanza Adi la kumi na mbili after that wanapewa kazi but ukichunguza mshahala wao 40% ya mshahala wao ndo walikuwa wanaipata but...
Tutachaguage kiongozi ambaye alishakula ela zetu na Dr slaa aliweka kila kitu wazi but wabongo wengi wanakuambia wanaitaji changes what type of changes mnazo itaji ona sasa wanavyo anza kujichanganya wenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.