Recent content by abdulbasit

  1. abdulbasit

    JamiiForums Tanzania SoC03 Utawala Bora na Uwajibikaji kichochezi cha Maendeleo na Demokrasia

    Ulimwengu wa sasa umegubikwa na changamoto nyingi zinazohusu maendeleo na demokrasia. Utawala bora ni mojawapo wa masuala yanayotiliwa mkazo na kusisitizwa na jamii mbalimbali duniani. Dhana hii muhimu inahusuiana na namna ambavyo taasisi mbalimbali, ikiwemo na serikali zinavyoweza kuhusika...
  2. abdulbasit

    JamiiForums Tanzania Swahili Programming Language - swap

    nashukuru mkuu
  3. abdulbasit

    JamiiForums Tanzania Swahili Programming Language - swap

    iliyopo kwa sasa ni documentation tu, tutorial kamili ya lugha bado haijakamilika
  4. abdulbasit

    JamiiForums Tanzania Swahili Programming Language - swap

    hapana, swap ni lugha inayojitegemea, lakini interpreter yake imetengezwa kwa javascript, kama ilivyo python kuwa ni lugha inayojitegemea lakini interpreter yake imeandikwa kwa C. Ijapokua kwa sasa swap ni lugha changa, na programing yake inafanika kwa CLI interface pekee.
  5. abdulbasit

    JamiiForums Tanzania Swahili API

    maelezo yote yanappatikana katika link hii Cloud Translation documentation | Google Cloud
  6. abdulbasit

    JamiiForums Tanzania Swahili Programming Language - swap

    Swahili programming language (swap) ni lugha ya kuprogram kwa kutumia maneno ya Kiswahili, ni lugha ya kwanza kabisa kuruhusu mtu kuweza kuandika kodi kwa kutumia maneno ya kiswahili (swahili lexical terms), lugha hii ilizinduliwa rasmi tar 2020-05-24 , lengo kuu ikiwa ni kusaidia kujifunza...
  7. abdulbasit

    JamiiForums Tanzania Programming Language swahili version

    habari, naomba nilijibu swali hili kama ifuatavyo, si kweli kwamba lugha zote za kuprogram zinatumia kiengerza kuprogramu, 1/3 kati ya zaidi ya lugha 2400+ za kuprogramu hazitumii kiengereza, na ongelea zaidi ya lugha 700+ ambazo hazitumii kiengereza katika kuprogramu, mfano wa lugha hizi ni...
Back
Top Bottom