Recent content by Abdulazizi issa

  1. Abdulazizi issa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baadhi ya vyanzo vilivyo sababisha kuondoka kwa furaha ya wanaume

    Baadhi ya vyanzo vilivyo sababisha kuondoka kwa furaha ya wanaume wengi na kupelekea kushindwa kujiamini kabisa 𝗣𝗨𝗡𝗬𝗘𝗧𝗢; Mwanaume anapopiga punyeto anaiminya mishipa ambayo inasababisha kusimama kwa uume, Hivyo baada ya muda fulani mishipa hiyo huishiwa nguvu na kulegea na kushindwa kuruhusu...
  2. Abdulazizi issa

    JamiiForums Tanzania Homoni za Testosterone kwa Wanaume

    Hii Ni kwasababu Uhifadhi wa vyakula kwenye jokofu hasa kwa muda mrefu unaweza kusababisha baadhi ya bakteria kuzaliana na kusababisha kupata madhara ya kiafya kama vile kuhara na magonjwa mengine. Chakula pia huweza kupoteza virutubisho vyake na husababisha mazalia ya bakteria kwenye chakula...
  3. Abdulazizi issa

    JamiiForums Tanzania Homoni za Testosterone kwa Wanaume

    𝗛𝗼𝗿𝗺𝗼𝗻𝗲 𝘆𝗮 𝗧𝗘𝗦𝗧𝗢𝗦𝗧𝗘𝗥𝗢𝗡𝗘 Kichocheo hiki ndio silaha ya mwanaume kwani ndicho kichocheo ambacho kinakufanya uwe na sifa zote za kiume na ndicho kichocheo ambacho kinakufanya uwe imara katika tendo la ndoa na tezi dume pia. Hii ni homoni muhimu katika afya ya mwanaume ambayo husaidia kurekebisha...
  4. Abdulazizi issa

    JamiiForums Tanzania Faida ya kegel na jinsi ya kufanya mazoezi ya kegel (wanaume)

    Na'am mkuu ukizingatia kiasi fulani Ina impact kwetu
  5. Abdulazizi issa

    JamiiForums Tanzania Faida ya kegel na jinsi ya kufanya mazoezi ya kegel (wanaume)

    Usiseme hivyo mkuu
  6. Abdulazizi issa

    JamiiForums Tanzania Faida ya kegel na jinsi ya kufanya mazoezi ya kegel (wanaume)

    Jaribu hata wakati wa haja ndogo kuzuia Mara mbili tatu Usikojoe Kama mbuzi mkuu
  7. Abdulazizi issa

    JamiiForums Tanzania Faida ya kegel na jinsi ya kufanya mazoezi ya kegel (wanaume)

    Na'am mkuu Afya Ni miongoni mwa vitu vya kuwa care navyo Sana hasa maisha yetu ya zama hizi
  8. Abdulazizi issa

    JamiiForums Tanzania Faida ya kegel na jinsi ya kufanya mazoezi ya kegel (wanaume)

    Nimekuelewa mkuu [emoji120]
  9. Abdulazizi issa

    JamiiForums Tanzania Faida ya kegel na jinsi ya kufanya mazoezi ya kegel (wanaume)

    HuweZi kuona matokeo kwa haraka kutokana na asili ya mwili wako binafsi lakini Kiukweli Ni Jambo unaloweza kulichukulia poa Ila kwa kiwango Fulani Lina positive impact katika miili yetu hasa maumbile yetu .. na Ni vizuri hata muda wa haja ndogo usikojoe moja kwa moja Kama mbuzi Ila unazuia hata...
  10. Abdulazizi issa

    JamiiForums Tanzania Faida ya kegel na jinsi ya kufanya mazoezi ya kegel (wanaume)

    Kiukweli Ni Jambo unaloweza kulichukulia poa Ila kwa kiwango Fulani Lina positive impact katika miili yetu hasa maumbile yetu .. na Ni vizuri hata muda wa haja ndogo usikojoe moja kwa moja Kama mbuzi Ila unazuia hata Mara mbili tatu [emoji817]
  11. Abdulazizi issa

    JamiiForums Tanzania Faida ya kegel na jinsi ya kufanya mazoezi ya kegel (wanaume)

    FAIDA YA KEGEL NA JINSI,YA KUFANYA MAZOEZI YA KEGEL (Wanaume) Kufanya mazoezi ya Kegel ni muhimu kwa kila mwanaume, nasema hivi kwa sababu ni zoezi ambalo kila aliyelifanya mara kwa mara ndani ya wiki tatu basi ameweza kuwa na utofauti mkubwa tofauti na mwanzo. Nasisitiza kuendelea kufanya...
Back
Top Bottom