Lisu anapaswa kujua kwamba wao wawekezaj wameisha tenda kosa laku Declare kiasi kidogo kilicho ndani yamchanga. Nandiyo maana Raisi ameunda tume yawanasheria kupitia mikataba
Ndio serikali Iweze kuchukua hatua stahiki
Walimuondoa sadam amani mpaka leo haipo. Wamemuondoa Gaddafi Vita mpaka kesho hata Syria vita haishi maana marekani nia yake nimafuta sio amani yaraia wanchi husika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.