Recent content by Abdul itembwe

  1. A

    Tundu Lissu: Tutanyolewa bila maji suala la mchanga wa madini, tusikurupuke

    Lisu anapaswa kujua kwamba wao wawekezaj wameisha tenda kosa laku Declare kiasi kidogo kilicho ndani yamchanga. Nandiyo maana Raisi ameunda tume yawanasheria kupitia mikataba Ndio serikali Iweze kuchukua hatua stahiki
  2. A

    Kikosi kilichomuua Osama chajiadaa kumwondoa Dikteta Kim Jong

    Walimuondoa sadam amani mpaka leo haipo. Wamemuondoa Gaddafi Vita mpaka kesho hata Syria vita haishi maana marekani nia yake nimafuta sio amani yaraia wanchi husika
  3. A

    Tundu Lissu: CCM walivunja kanuni uchaguzi EALA

    Chadema hamna Demokrasi mna dikteta anayeteua majina atakayo!! Kwanini msipeleke majina zaidi yakapigiwa kura Kama wenzenu walivyofanya '!!"???
  4. A

    Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

    ,BBC catty rest r
  5. A

    Mtatiro na hoja ya ruzuku ni uzushi kama hoja ya RITA

    Jibu hoja acha matusi!!!!!
  6. A

    RC Paul Makonda afika Bungeni kuhojiwa na Kamati ya Maadili. Taarifa itasomwa bungeni...

    Mh. Makonda nimhanga Tuko pampja nawe maana kila agusaye madawa yakulevya huzuliwa mizengwe hata kuuawa. M/mungu atakunusuru
  7. A

    RC Paul Makonda afika Bungeni kuhojiwa na Kamati ya Maadili. Taarifa itasomwa bungeni...

    Mh Makonda Tuko pampja nawe. Tunajua anayegusa watumiaji
  8. A

    Ubunge Afrika Mashariki: Mgogoro Mzito ndani ya CHADEMA waibuka

    Mkiambiwa ukweli oh wewe ccm!!
Back
Top Bottom