Recent content by Abdideol

  1. Abdideol

    Hii hali inaniumiza sana

    Usijutie Maamuzi yako ya kumsamehe ila pia nakuomba usimuumize na wewe. Kama umeamua kusamehe basi amua kusahau pia. Kila Jambo ni MAAMUZI tu lakini wewe bado HUJAAMUA KUSAHAU. FANYA MAZOEZI MARA KWA MARA HASA MAGUMU KAMA VILE SQUATS + JOGGING UKIJITAJI SAPOTI SEMA ULIPO TUTAKIMBIA PAMOJA NDANI...
  2. Abdideol

    Mhalifu wa kauli taarifa

    Ukiwa na Maana.??
  3. Abdideol

    Mhalifu wa kauli taarifa

    Sawa
  4. Abdideol

    SoC02 Hata Mbwa Mwitu Pekee Kama Mimi Anahitaji Jumuiya

    Watu werevu na waliofanikiwa zaidi ninaowajua wanatafuta jumuiya kwa bidii. Wanaajiri makocha, wanajiunga na vikundi vya mitandao rika, huchukua likizo na marafiki na wafanyakazi wenzao, na kujenga jumuiya yao kikamilifu. Ninasema hivi kama mtu ambaye kijamii amefanya machache kati ya haya...
  5. Abdideol

    Mhalifu wa kauli taarifa

    Kigezo kipi kimetumika kutoa Taarifa ifuatayo.?? "AMUUA MKE WAKE NA KISHA YEYE MWENYEWE KUJIUA." Kupitia kauli hiyo tunaweza kuwa tunamlinda muhalifu bila hata kufahamu. Ukifanya Tathimini pengine unaweza tambua aliyemuuwa Mke sio Mume na pengine Mume kajiuwa ili kuepusha shari huenda...
  6. Abdideol

    SoC02 Huu ni utumwa katika Elimu

    Wako wapi watawala hao.?
  7. Abdideol

    Kwa mazingira haya bado tunaweza kuiita Sensa ya Watu na Makazi?

    Lakini nafikiria wakiwa zaidi ya Makadirio waliyoyafanya wao.??
  8. Abdideol

    Kwa mazingira haya bado tunaweza kuiita Sensa ya Watu na Makazi?

    Hivi sensa itamuhesabu vipi yule Mtu anayelala Darajani Salenda au kwenye Mabaraza pale Manzese? 🤔 Ikiwa tunasema ni sensa ya watu na makazi? Na itakuaje kuhusu bajeti ya mtu huyu baada ya yeye kutokuhesabiwa kwa kuwa hana makazi maalumu na darajani pale au sokoni ambapo anapatikana wakati wa...
  9. Abdideol

    SoC02 Huu ni utumwa katika Elimu

    Huu ni Utumwa Katika Elimu. Ni wazi kuwa hakuna umuhimu wa Elimu bure maana cha bure hakina Thamani. Udogoni tumekimbia sana kukwepa kujisomea jioni na wazazi walituacha tu ila hatukujaribu kukwepa tuition tukihofia wazazi kutuadhibu yote sababu tunaonekana kuchezea pesa yake ambayo anaitoa...
Back
Top Bottom