Zito hakupenda maridhiano kati ya mbowe na Rais hata suala la Mbowe kwenda Ikulu mara mbili na kuwaona viongozi wa juu wa Chadema wakiwa Ikulu hilo jambo lilimuuma na linaendelea kumuuma sana .alitaka hivi kwa nini isiwe ACT.
Nanyaro ni mtu makini sana, kwanza hana njaa ndogondogo, hanunuliki kirahisi hafichi jina wala sura, hana makuu, tunakunywa nae kahawa hapa stendi soko kuu kijiwe cha siasa chapa kazi diwani wetu na meya wetu 2025 to 2030,
Muda mchache tu tulifanya nae kikao Kijiji cha Usari Kata yetu ya Narumu, ndipo wakaelekea ofisi ya Chadema wilaya Hai, Mungu ibariki Chadema na viongozi wake wote. by RITTE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.