Recent content by abdiabdillah517gmailcom

  1. abdiabdillah517gmailcom

    Serikali ivunje Baraza la Madiwani Jiji la Arusha

    Hivi haya masisiem yanaelewa kweli.
  2. abdiabdillah517gmailcom

    Zitto Kabwe aitaka CHADEMA iweke hadharani Mapendekezo waliyompelekea Rais Samia kwani kufichaficha kunatia shaka

    Zito hakupenda maridhiano kati ya mbowe na Rais hata suala la Mbowe kwenda Ikulu mara mbili na kuwaona viongozi wa juu wa Chadema wakiwa Ikulu hilo jambo lilimuuma na linaendelea kumuuma sana .alitaka hivi kwa nini isiwe ACT.
  3. abdiabdillah517gmailcom

    Madiwani 41 Moshi wamkataa Mkurugenzi wa Halmashauri

    Halmashaur ya Moshi [Mjini] na Halmashauri ya Moshi vijijini.
  4. abdiabdillah517gmailcom

    Serikali ivunje Baraza la Madiwani Jiji la Arusha

    Nanyaro ni mtu makini sana, kwanza hana njaa ndogondogo, hanunuliki kirahisi hafichi jina wala sura, hana makuu, tunakunywa nae kahawa hapa stendi soko kuu kijiwe cha siasa chapa kazi diwani wetu na meya wetu 2025 to 2030,
  5. abdiabdillah517gmailcom

    Freeman Mbowe akutana na Kamati ya Utendaji ya CHADEMA Jimbo la Hai

    Sie tunangalia mbele mwenzetu shingo umegeuzia nyuma,
  6. abdiabdillah517gmailcom

    Freeman Mbowe akutana na Kamati ya Utendaji ya CHADEMA Jimbo la Hai

    Muda mchache tu tulifanya nae kikao Kijiji cha Usari Kata yetu ya Narumu, ndipo wakaelekea ofisi ya Chadema wilaya Hai, Mungu ibariki Chadema na viongozi wake wote. by RITTE.
  7. abdiabdillah517gmailcom

    Wapenda Gym wengi na skendo za ushoga na waume za watu

    Wenye wake hutafuta mtu wa kumshtua ndipo anawahi kwa mkewe kwa ajili ya mechi, mmoja alinijibu hivyo.
  8. abdiabdillah517gmailcom

    Wapenda Gym wengi na skendo za ushoga na waume za watu

    Wengine hulamba koni na hela anakupa,sio masihara mwenyewe limenitokea,.
  9. abdiabdillah517gmailcom

    Wapenda Gym wengi na skendo za ushoga na waume za watu

    Hata mimi kuna mwanafunzi wa sekondari ya Haramain hapo Ilala aliwahi kunitongoza, idadi ni nyingi, hatari sana.
Back
Top Bottom