mimi ni mwanafunz ambaye nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nimesomea masomo ya arts lakini nimeamua kwenda kujiunga na veta kwenda kusomea plant operator je naombeni ushauli wana kikundi kuhusu hii kozi inalipa?
mimi ni mwanafunzi niliye maliza kidato cha nne mwaka jana nimesoma masomo ya art lakini nahitaji kusomea information technology,je naweza nikasomea ikiwa mimi ni mwana arts
wadau naombeni mnipe msaada kuwa mimi nmesoma masomo ya arts naweza nikasoma certificates ya information technology ikiwa mathe nina alama D wana kikundi naombeni msaada kutoka kwenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.