Sina mtoto kabsa ….ila i got experience flan inayonifanya niwaambie mwanaume anae penda watoto
Actually any as long as tunaweza kufanya maisha it’s very oky
Mimi ni mke
Nipo Arusha
Mfanya biashara
Umri 26
Mweupe, urefu wastani, umbo la mwanamke wa ki-Tanzania
Namuamini Mungu
Natafuta mwanaume wa vigezo
Mwanaume atakaekuwa rafki, mpnz na mume kwang
Anaependa watoto na familia kiujumla
Atakaefahamu thamani yang kwake
Mwenye kaz haswa muajiriwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.