Tatizo hapa ni hawa watoto wa Kichaga kwa sababu ya tamaa zao za pesa wakizani kuwa Chadema itawafanya kuwa Matajiri kuweni makini haya maisha mafupi siku hizi nyinyi kazi yenu ni kutolewa sadaka za Kifreemason na hao Makamanda wenu mtakwisha kwa tamaa zenu eti mbowe mbowe na Lema mbona hawa...
Guys, asiwe watu wa kutaka maslahi na kujiona ni mahidari wa kijibu, Take it o liv it, CCM haina makosa hata kidogo ni ujinga uliopo hasa kwa baadhi ya watu wakidhani CHADEMA itawapatia maendeleo na kuwapa pesa mikononi lazima watu wawe wastaarabu kama kweli yu want change dont vote for CCM...
Sasa kwa Tarifa zenu . Lowasa anatufaa sana kuwa rais wa nchi hii hivyo msiangalie sana yalio nyuma songa mbele watanzania kwani mtu akinya huchamba basi naye kishachamba Lowasa oyeeeeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.