Recent content by Abas Alberto

  1. A

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    wana jf mimi ni mgeni ktk huu uzi naanza kwa kuwaomba razi kuingilia maongez yenu mazuri.naomba msaada kuhusu chanel ya rdv inayopatkana amos5.inasiku kazaa haioneshi picha wala audio.natumia rcva ya azam huwa haitoi habar zaid ya no signal.nijulishen chochote tatzo la chanel hii.asanten kwa...
  2. A

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    chanel ya rdv kwenye amos5 haionyeshi.tatzo nn wadau?
  3. A

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    vizur zaid ungefafanua uefa ck gan za wiki na europa ck zip?au mechi zote? sisi wengne ndo tnaanza kuiona dtv.
  4. A

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    poa kaka fta 4 life
  5. A

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    Msimu uliopita tulikuwa tunapata epl game 2@wiki kwa chanel ya rdv fta. Je msimu huu wapo hewan tena kutupa game 2 kla wikiend? Pia kwa utafti wang mdogo nmeona ligi la liga haipo fta hata mechi 1 kwa wiki.je ni kwel hakna chanel ya fta inayorusha game hata 1? Wakuu msaada katka haya...
  6. A

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    Nahtaj rcva ya g6,srt,q nk.naweza kpata duka gan kwa mikoa ya dar au mwanza?asanteni
Back
Top Bottom