Recent content by Abadan

  1. A

    Nakwenda Hijja Inshallah

    assalam aleykum. ndugu nakutakia hijjatul mabruur wadhanbin maghfuur INSHALLAH. usitusahau kwa dua. na ningekushauri kwavile ushatia nia ya kwenda Hijja ni vyema ukajiepusha na hii thread kwavile tayari nahisi ishaanza kupotezwa lile lengo lako ulilolikusudia. Allah awe nawe wewe na familia...
  2. A

    Why I am Not A Christian - Bertrand Russell

    hii sequence ya evolution ya darwin inaendelea mpaka leo au imestop? na kama imestop why?
  3. A

    Imani ya Ushirikina na Maisha ya Mwananchi

    nakushukuru kwa kuthibitisha kwamba uislam ni dini iliokamilika kila kona,,,,imeweka mpaka hukumu ya ukitaka kuvaa viatu uvae vipi...ni kwasababu hii ndio maana westerners hawaupendi uislam kwani uislam sio imani tu bali ni the whole life system...apart from that ,sijaona chengine cha kujibu...
  4. A

    Dini Dini Dini Dini.....Sasa miye nimeanza kuboreka na hizi threads za dini, Je wewe?

    hii statement inatuhusu mie na wewe ,,i think sote wawili tunahitaji hiyo kitu..
  5. A

    Dini Dini Dini Dini.....Sasa miye nimeanza kuboreka na hizi threads za dini, Je wewe?

    kuelimika kuko namna nyingi...mfano ..leo hii basi nishaelimika kwamba unalotaka wewe basi lazima liwe....kwahiyo hili suali sijui kwanini umelileta hapa lijadiliwe ..kwani naona tayari unalazimisha msimamo wako...
  6. A

    Dini Dini Dini Dini.....Sasa miye nimeanza kuboreka na hizi threads za dini, Je wewe?

    wewe unasema hujaelimika kupitia ukumbi huu,,i respect that,,,,lakini jaribu kurespect na view yangu ninapokuambia kwamba tayari nimeelimika mengi...be fair
  7. A

    Dini Dini Dini Dini.....Sasa miye nimeanza kuboreka na hizi threads za dini, Je wewe?

    moja kati ya silaha inayotegemewa katika debate ni uvumilivu....iwe debate ya siasa,michezo,uchumi,imani ..n.k.. nakubaliana na wewe kwamba katika ukumbi huu wa imani na dini,kuna watu kwa maksudi mazima wanavuka mipaka ya lugha na kuamua kupakoroga...lakini pia bado sidhani kama ni solution...
Back
Top Bottom