Unafikiri ikifutwa utafaidika nini badala ya khasara? Mimi wa kwanza hamtoniona. Mambo mengi ya kufanya ya kheri na wapo wengi wanahitaji kufikishiwa habari sahihi (njema) ya Uislamu.
Kusema TUMESIKIA NA TUMETII hakutoharibika neno. HAKI IMEKUJIENI mukubali na musilimu (mujisalimishe) kwa yule aliewaumba. Yote ni kwasababu waislamu tunakuhurumieni msije juta. Na kumkubali Muumba na kunyenyekea kwake sio kuwa mmeshindwa bali mtakua mmeingia katika njia ya uongofu ambayo itakuokoeni na Adhabu za Allah na mtapata makaazi mema. TIINI
Kusema TUMESIKIA NA TUMETII hakutoharibika neno. HAKI IMEKUJIENI mukubali na musilimu (mujisalimishe) kwa yule aliewaumba. Yote ni kwasababu waislamu tunakuhurumieni msije juta. Na kumkubali Muumba na kunyenyekea kwake sio kuwa mmeshindwa bali mtakua mmeingia katika njia ya uongofu ambayo itakuokoeni na Adhabu za Allah na mtapata makaazi mema. TIINI