Recent content by AAS

  1. A

    Je, huu sio uvunjaji wa haki za msingi za binadamu unaofanywa na serikali ya Magufuli?

    ndugu hata sielewi kwa nini huyu jamii ameleta hili bandiko hapa sababu kaandika kwa maneno yaliokolezwa kwamba huyo kigogo hana vibali ndo maana kakatazwa kwenda nje sasa hata huko ulaya watu wanatoka tu bila vibali? Labda km kuna kitu sijaelewa hapa
  2. A

    Je, huu sio uvunjaji wa haki za msingi za binadamu unaofanywa na serikali ya Magufuli?

    Pasco umesema kazuiliwa sababu hana vibali je mtu km hana vibali aruhusiwe tu sababu sheria imetamka? je sheria inasema mtu yuko huru kwenda atakakko bila hata kua na vibali? mbona mi nona ni sahihi kabisa sababu hana vibali atafute ndio aende navyo wamzuie sijui nini tatizo hapa.
  3. A

    Kwa wale waliosoma Bsc General.

    ingia kwenye website yao udownload prospectus yao inaelekeza kuhusu kozi zao
  4. A

    DC Makonda 'amekiri' kuwa lilikuwa ni suala la kinidhamu, alikosea

    ndugu katika utumishi wa uma kuna kamati za nidhamu ambazo zinashughulikkia masual yote ya nidhamu ya watumishi. hakuna siku mtumishi wa uma atafukuzwa bila kusikilizwa. lazima aitwe kwenye vikao vikae kamati isikilize wote wawili mwajiri na mwajiriwa baada ya hapo ndio uamuzi unatolewa kuhusu...
  5. A

    Naomba ushauri wa kisheria wandugu

    mkuu benki zetu hazitaki kiwanja nimezunguka benki nyingi wanasema wanataka biashara ili wakukopeshe
  6. A

    Naomba ushauri wa kisheria wandugu

    ndugu yaani acha tu ni pasua kichwa si kidogo ahsante kwa ushauri
  7. A

    Naomba ushauri wa kisheria wandugu

    ] ahsante sana mkuu nitaufanyia kazi ushauri wako
  8. A

    Naomba ushauri wa kisheria wandugu

    hati imetoka kata.hati halisi ipo hapa ndani ila bado sijaisaini
  9. A

    Naomba ushauri wa kisheria wandugu

    ok ahsante nimekasirika sababu mimi nilichukua loan nikamtumia anunue ardhi yeye anachukua kwa siri kwa nini? alichofanyia hasemi lengo ninini hapa? sikwamba nataka kumpangia na pesa yake hapana ni information tu km kweli kuna future hata information inagomba? mpaka kaandika majina yote maana...
  10. A

    Naomba ushauri wa kisheria wandugu

    ahsante. ndugu acha tu huyu mwanamke tulikua mbali akawa ananituhumu kua hakuna kitu nafanya kuhusu familia ndio nikaamua nibebe loan aone nia niliyonayo kujenga familia imara he nashangaa mauza uza yanaanza kwenye familia sidhani km nitapata haki sababu ni mwongo halafu vikao sio level ground...
  11. A

    Naomba ushauri wa kisheria wandugu

    ahsante kwa kuona km kafanya kosa hii ishu nikiipeleka kifamilia sjui km nitapa haki sababu huyu mtu ni mwongo balaa akifika kwenye vikao anaongopa halafu km vile unafiki mwingi hakuna mtu wa kumkomalia kumuambia ukweli nabaki mwenyewe hivyo hajifunzi. hapa nikishindwa kisheria nachapa lapa tu...
  12. A

    Naomba ushauri wa kisheria wandugu

    Mnamo mwaka jana nilichukua mkopo benki nikamtumia wife anunue kiwanja mkoa ambao tulikubaliana tutaweka makazi ya kudumu. Sisi sote ni wafanyakazi ila tulikua mikoa tofauti kikazi. Nilijibana wakati nakatwa mkopo mpaka nlipohamia mkoa aliopo yeye ambapo ndipo tuliponunua kiwanja. Mkopo huo...
  13. A

    Rais Magufuli: Hakuna sherehe ya miaka 54 ya Uhuru mwaka huu, Badala yake mkafanye Usafi

    ratiba inaanza saa kumi na mbili kamili asubuhi ambapo police, wanajeshi na magereza watakua wakikusubiri utoke ndani kwako wakupangie na kukusimamia kufanya usafi hakuna kuchenga
  14. A

    Rais Magufuli: Hakuna sherehe ya miaka 54 ya Uhuru mwaka huu, Badala yake mkafanye Usafi

    aisee naunga mkono kufanya usaifi lakini si kwa kusimamiwa sijui na polisi ile haki ya kujiamulia mambo yetu wenyewe pasi na kuvunja sheria imeenda wapi.
Back
Top Bottom