Mtoto hurithi njia na mienendo ya baba yake!! baba akiwa mlevi mtoto nae akija kuwa mlevi dunia huwa haistaajabu husema karithi damu ya baba yake!
na baba akiwa mtu wa busara na familia akatokea mtoto ambae c mstarabu dunia hushangaa huyu mtoto karithi kutoka kwa nan maana ile sio damu ya baba...
n mfuko ambao umejaa ukirtimba ndan yake sana hata tu form yao kuijaza wanahitaji watoto na wazaz na sio wategemezi!!!!! sasa swal la msingi n hl kama mtu n mnufaikaji wa mfuko husika na hajaoa wala kuolewa na wazaz wake n wanufaikaji wa mfuko je! hatuon mtu huyu anakatwa hela bure?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.